Wataalamu wa historia nipeni jibu

Tiger

JF-Expert Member
Nov 30, 2007
1,747
386
Kwa wale waliotazama movie ya Troy watakuwa wanamtambua Achilles. Huyu alikuwa mpiganaji mzuri sana kwenye historia ya wagiriki lakini nilipojaribu kusoma mtandaoni nilikuta maelezo kuwa mtu huyu alikuwa kwenye Greek mythology kitu kilichonifanya nishindwe kujua kuwa Achilles alikuwa mtu halisi au ni mtu wa kwenye hadithi tu.

Hivyo ningependa wataalamu wanisaidie, je, Achilles aliwahi kuishi kweli?
 
Wadau swali langu halijaonekana au jibu lake ndio halijaonekana?
 
Kabla sijakujibu, nini maana ya myth au mythology.Halafu litafakari swali lako..
 
Kabla sijakujibu, nini maana ya myth au mythology.Halafu litafakari swali lako..

Mkuu, una maswali magumu kama Kiranga. Haya nitajaribu.
Myth ni habari au taarifa fulani ambazo watu wa jamii fulani wamekuwanazo juu ya mambo au matukio fulani japo mara nyingi taarifa hizo hazina uhalisia.
Sijui kama nimekujibu?
 
Mkuu, una maswali magumu kama Kiranga. Haya nitajaribu.
Myth ni habari au taarifa fulani ambazo watu wa jamii fulani wamekuwanazo juu ya mambo au matukio fulani japo mara nyingi taarifa hizo hazina uhalisia.
Sijui kama nimekujibu?

Myth, ni hadithi tu! Hiyo ndo maana rahisi ndo maana mdau hapo juu kakurahisishia neno lile refu limenyumbulishwa kutoka myth, alijua itakuwa rahisi kwako hivyo basi; myth= hadithi
 
Umejibu vizuri ila bado hujatafakari. Pitia na hapa kidogo; myth: definition of myth in Oxford dictionary (British & World English) Kwa kuongeza ni kuwa myth au kwa kiswahili "kisasili" yaweza kuwa kweli au si kweli. Kwa logic hiyo hadithi ya troy na achilles ni za kufikirika.

Nilitafakari sana tena kwa muda mrefu kabla ya kuanzisha uzi huu, lakini kitu kilichofanya nilete kwenu swali hili ni kuwa huwa siamini moja kwa moja kila kinachoelezwa na wikipedia au vyanzo vingine kama hivyo, ila kwa kutafakari na wadau(GT) naamini ninawezakupata taarifa za uhakika.
 
Myth, ni hadithi tu! Hiyo ndo maana rahisi ndo maana mdau hapo juu kakurahisishia neno lile refu limenyumbulishwa kutoka myth, alijua itakuwa rahisi kwako hivyo basi; myth= hadithi

Ninashukuru kwa mchango wenu wadau lakini labda niwaulize kitu kimoja, kuna chanzo kingine cha taarifa ambacho kinaeleza kuwa habari hii niliyoileta kwenu kuwa ni myth au ni kupitia wikipedia kama nilivyokutananayo?
Samahanini kama nimeeleweka vibaya.
 
Kwa wale waliotazama movie ya Troy watakuwa wanamtambua Achilles. Huyu alikuwa mpiganaji mzuri sana kwenye historia ya wagiriki lakini nilipojaribu kusoma mtandaoni nilikuta maelezo kuwa mtu huyu alikuwa kwenye Greek mythology kitu kilichonifanya nishindwe kujua kuwa Achilles alikuwa mtu halisi au ni mtu wa kwenye hadithi tu.
Hivyo ningependa wataalamu wanisaidie, je, Achilles aliwahi kuishi kweli?

Achilles is a mythical figure from Greek mythology. Homer epitomized heroism through the vessel of the character of Achilles in the narration of The Trojan War in his writing "Illiad".

He was not real, or rather, there is no evidence to show that he was real.
 
Achilles is a mythical figure from Greek mythology. Homer epitomized heroism through the vessel of the character of Achilles in the narration of The Trojan War in his writing "Illiad".

He was not real, or rather, there is no evidence to show that he was real.

Now you are talking, kumbe na writer anajulikana kabisa?
Umemaliza mkuu. Dah! But i wish the man was real. Nimeshaona mpaka sculpters of him, ila kumbe ni wishful thinking a.k.a "hocus pocus"
 
Now you are talking, kumbe na writer anajulikana kabisa?
Umemaliza mkuu. Dah! But i wish the man was real. Nimeshaona mpaka sculpters of him, ila kumbe ni wishful thinking a.k.a "hocus pocus"

It has to be noted that Homer did not create Achilles as a character, and there are pre-Homeric traditions narrating the heroic feats of Achilles. Homer took from traditional myths and wove the most famous story with Achilles as a character in the Illiad.
 
It has to be noted that Homer did not create Achilles as a character, and there are pre-Homeric traditions narrating the heroic feats of Achilles. Homer took from traditional myths and wove the most famous story with Achilles as a character in the Illiad.

Damne it! So that means, we still do not know how Greece came about with the mighty Achilles, which implies we might have just lost the traces of such an icon. Is that not possible?
 
Myth, ni hadithi tu! Hiyo ndo maana rahisi ndo maana mdau hapo juu kakurahisishia neno lile refu limenyumbulishwa kutoka myth, alijua itakuwa rahisi kwako hivyo basi; myth= hadithi

bold: mythology is the study of myths.
zipo hadithi za aina nyingi

anecdote = hadithi
legend = hadithi
folktale = hadithi
fable = hadithi
kwa hiyo kufafanua aina ya hadithi unayoisema ni muhimu:
 
Kwa wale waliotazama movie ya Troy watakuwa wanamtambua Achilles. Huyu alikuwa mpiganaji mzuri sana kwenye historia ya wagiriki lakini nilipojaribu kusoma mtandaoni nilikuta maelezo kuwa mtu huyu alikuwa kwenye Greek mythology kitu kilichonifanya nishindwe kujua kuwa Achilles alikuwa mtu halisi au ni mtu wa kwenye hadithi tu.
Hivyo ningependa wataalamu wanisaidie, je, Achilles aliwahi kuishi kweli?

kwenye fasihi, wahusika wanawakilisha watu halisi ktk jamii. huweza kuwa wa kubuni au wa ukweli. hata kama watakuwa wa ukweli bado ubunifu hutumika ili kuwafanya wawe wa kifasihi zaidi kuliko kuwa wa kihistoria.

sijawahi kuiona hiyo movie ila huenda aliwahi kuishi au la, lakini huyo wa kwenye movie ni imaginary character that the author has created to convey the message.
 
kwenye fasihi, wahusika wanawakilisha watu halisi ktk jamii. huweza kuwa wa kubuni au wa ukweli. hata kama watakuwa wa ukweli bado ubunifu hutumika ili kuwafanya wawe wa kifasihi zaidi kuliko kuwa wa kihistoria.

sijawahi kuiona hiyo movie ila huenda aliwahi kuishi au la, lakini huyo wa kwenye movie ni imaginary character that the author has created to convey the message.

Mkuu, naomba ujitahidi kuitafuta hiyo movie, ni ya zamani 1994 lakini ni kati ya movie ninazozipa nafasi ya juu.
I like the movie, Troy.
 
Mkuu, naomba ujitahidi kuitafuta hiyo movie, ni ya zamani 1994 lakini ni kati ya movie ninazozipa nafasi ya juu.
I like the movie, Troy.

Asante mkuu, nitaitafuta halafu naenda kuiangalizia kwa jirani. kwangu nabana bajeti ya umeme...teh teh teh
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom