Wataalamu wa Google Adsense Naombeni Msaada

herman3

JF-Expert Member
Feb 7, 2015
508
656
Nimepata barua yenye PIN za kufanyia account verification, na nimefanikiwa ku-verify account, sasa naomba kufahamu ni baada ya siku ngapi nitatumiwa hela ambazo zipo kwenye account yangu ya adsense,? pia njia ya malipo niliyochagua ni western union, je ni nini kitahitajika wakati wa kwenda kuchukua hayo malipo? lakini pia naomba kuuliza nikiasi gani ukitumiwa hutatakiwa kukichukua kwa mara moja?(yaani kinagawanywa na kutumwa kidogo kidogo?) maana nikimesikia kwamba kuna kiwango ukifikisha huruhusiwi kukichukua western union kwa mara moja.


Ahsanteni, natanguliza shukrani zangu.
 
Nimepata barua yenye PIN za kufanyia account verification, na nimefanikiwa ku-verify account, sasa naomba kufahamu ni baada ya siku ngapi nitatumiwa hela ambazo zipo kwenye account yangu ya adsense,? pia njia ya malipo niliyochagua ni western union, je ni nini kitahitajika wakati wa kwenda kuchukua hayo malipo? lakini pia naomba kuuliza nikiasi gani ukitumiwa hutatakiwa kukichukua kwa mara moja?(yaani kinagawanywa na kutumwa kidogo kidogo?) maana nikimesikia kwamba kuna kiwango ukifikisha huruhusiwi kukichukua western union kwa mara moja.


Ahsanteni, natanguliza shukrani zangu.
1. First unatakiwa uwe umefikisha dollar 100.
2. Pesa huwa zinawekwa tarehe 21 ya kila mwezi kama umefikishwa dollar 100 kwenye finalized earning .ie pesa ya mwezi ukiopita sio mwezi uliopo...
3. kwa njia ya western union unatakiwa kwenda kwenye tawi la western union na kitambulisho tuu utapewa pesa yako kwa kujaza details kadhaa kwenye form maalum..
4. kwa western union unatakiwa kutoa dollar 2000 au pungufu.. kama umeingiza balance zaidi tumia njia ya wire to bank ambayo unatakiwa uwe na account katika bank yoyote..
 
1. First unatakiwa uwe umefikisha dollar 100.
2. Pesa huwa zinawekwa tarehe 21 ya kila mwezi kama umefikishwa dollar 100 kwenye finalized earning .ie pesa ya mwezi ukiopita sio mwezi uliopo...
3. kwa njia ya western union unatakiwa kwenda kwenye tawi la western union na kitambulisho tuu utapewa pesa yako kwa kujaza details kadhaa kwenye form maalum..
4. kwa western union unatakiwa kutoa dollar 2000 au pungufu.. kuna unaingiza zaidi tumia njia ya wire to bank..
Ahsante sana mkuu, kiukweli nimeridhika na jibu lako.
 
1. First unatakiwa uwe umefikisha dollar 100.
2. Pesa huwa zinawekwa tarehe 21 ya kila mwezi kama umefikishwa dollar 100 kwenye finalized earning .ie pesa ya mwezi ukiopita sio mwezi uliopo...
3. kwa njia ya western union unatakiwa kwenda kwenye tawi la western union na kitambulisho tuu utapewa pesa yako kwa kujaza details kadhaa kwenye form maalum..
4. kwa western union unatakiwa kutoa dollar 2000 au pungufu.. kama umeingiza balance zaidi tumia njia ya wire to bank ambayo unatakiwa uwe na account katika bank yoyote..
mmkuu samahani,mimi adsens yangu inakataa kuonyesha satatement ya pesa iliyopo na pia now naona hainipi option ya kama nataka kuchukua pesa au lah,japo niliihold hadi mwezi wa sita mwaka huu,je inawezekana hapo kukawa na tataizo au ndio nihesabie maumivu?
 
mmkuu samahani,mimi adsens yangu inakataa kuonyesha satatement ya pesa iliyopo na pia now naona hainipi option ya kama nataka kuchukua pesa au lah,japo niliihold hadi mwezi wa sita mwaka huu,je inawezekana hapo kukawa na tataizo au ndio nihesabie maumivu?
Uliza swali lako vizuri mkuu.
 
mmkuu samahani,mimi adsens yangu inakataa kuonyesha satatement ya pesa iliyopo na pia now naona hainipi option ya kama nataka kuchukua pesa au lah,japo niliihold hadi mwezi wa sita mwaka huu,je inawezekana hapo kukawa na tataizo au ndio nihesabie maumivu?
kivipi mkuu.. je uki-login inaleta nini??? ingekua vyema ungepiga picha
 
NI HIVI adsens Account yangu inakataa kunionyesha option ya kutoa pesa ,sasa nashindwa kujua hapo tatizo ni nini?
Option ya kutoa pesa? Ninavyojua Adsense ukishaseti njia ya malipo na kiasi ifikiapo watakutumia automatic
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom