okiwira JF-Expert Member Jul 23, 2018 2,785 2,848 Dec 3, 2018 #1 Biashara ya vifaa vya Simu na biashara ya Nguo za kike na watoto ipi inalipa zaidi? Kwa maeneo ya mikoani kama Mbeya Tukuyu na Njombe Rudewa? Kwa mtaji wa tsh.laki tatu. kwa kuanzia.
Biashara ya vifaa vya Simu na biashara ya Nguo za kike na watoto ipi inalipa zaidi? Kwa maeneo ya mikoani kama Mbeya Tukuyu na Njombe Rudewa? Kwa mtaji wa tsh.laki tatu. kwa kuanzia.
leroy JF-Expert Member Dec 8, 2010 1,587 2,132 Jun 23, 2019 #3 Nguo za kike na watoto. Fanya biashara ya vitu ambavyo ni muhimu kwa binadamu (basic needs), hutajuta.
Nguo za kike na watoto. Fanya biashara ya vitu ambavyo ni muhimu kwa binadamu (basic needs), hutajuta.