Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,974
- 13,614
Kwa mfano, mji kama DSM, ni sahihi kutoa hati miliki ya kimila kumiliki ardhi? Maana kuna makabila karibia yote ya hapa nchini mjini dsm.
Utoaji wa hati miliki unazingatia mambo gani? Mimi nilidhania hati miliki ya ardhi ya kimila hutolewa pale inapoonekana eneo husika lina kabila, tamaduni, na desturi moja.
Mfano mzuri ni mkoa wa Kilimanjaro, haswa eneo linalokaliwa na wachagga. Kwa asilimia kubwa ardhi kubwa inayokaliwa na wachagga inamilikiwa kimila japo wengi hawana hati miliki.
Naomba kujua, ni maeneo gani ambayo yanafaa kumilikiwa kwa kutumia hati miliki ya kimila?
Utoaji wa hati miliki unazingatia mambo gani? Mimi nilidhania hati miliki ya ardhi ya kimila hutolewa pale inapoonekana eneo husika lina kabila, tamaduni, na desturi moja.
Mfano mzuri ni mkoa wa Kilimanjaro, haswa eneo linalokaliwa na wachagga. Kwa asilimia kubwa ardhi kubwa inayokaliwa na wachagga inamilikiwa kimila japo wengi hawana hati miliki.
Naomba kujua, ni maeneo gani ambayo yanafaa kumilikiwa kwa kutumia hati miliki ya kimila?