kwakweli sijui ila kama uko naye karibu na kama unataka ukweli hiyo siku ya tarehe be around her and see where she will goHii card nimeikuta kwenye mkoba wa mdogo wangu wa kike yupo kidato cha nne, ni ya nini?View attachment 1226779
kwakweli sijui ila kama uko naye karibu na kama unataka ukweli hiyo siku ya tarehe be around her and see where she will goHii card nimeikuta kwenye mkoba wa mdogo wangu wa kike yupo kidato cha nne, ni ya nini?View attachment 1226779
Asante mkuu ni sahihi nipo mbeya nikajua dogo ameukwaaHao jamaa wanafanya research ya madawa na vaccine zao za Maralia, TB na HIV ila sana sana wamejikita kwenye 'ngoma' katika mikoa ya southern highlands particulary Mbeya. Mdogo wako amekuwa mmoja wa samples. Usiogope wala kupaniki. Muulize vizuri tu. Ni US military research program. Wanashirikiana na Mbeya referral hospital, Muhimbili na wizara ya afya
Bro unapekua mikoba ya mdogo wako wa kike?Hii card nimeikuta kwenye mkoba wa mdogo wangu wa kike yupo kidato cha nne, ni ya nini?View attachment 1226779
hawa ngozi nyeupe hawa daaah naskia wanapandikiza virus africa afu dawa wanazificha mfano virus vya ebola naskia ndo wamevileta hawa washkaji ili kuvitest africaHao jamaa wanafanya research ya madawa na vaccine zao za Maralia, TB na HIV ila sana sana wamejikita kwenye 'ngoma' katika mikoa ya southern highlands particulary Mbeya. Mdogo wako amekuwa mmoja wa samples. Usiogope wala kupaniki. Muulize vizuri tu. Ni US military research program. Wanashirikiana na Mbeya referral hospital, Muhimbili na wizara ya afya
Hii card nimeikuta kwenye mkoba wa mdogo wangu wa kike yupo kidato cha nne, ni ya nini?View attachment 1226779
Sawa mkuu kuna mtu hapo kasema wamemchukua kama sample ya majaribio hivyo watakua wamempandikiza virusi ili kujaribisha dawa zao, hii imekaajeBaadhi ya vituo mtu akienda kufanya kipimo cha HIV hupewa kadi hii, haimaanishi kama ni mgonjwa, ni ukienda tu kupima wanakupa kadi.
Kujifanya much know akati unaongea Utumboo mtupu...!! Siku nyingine kama huna cha kuandika pita kimya..Huyo wame mchukua kumfanyia majaribio ambapo wamemwekea vimelea vya ukimwi afu wanatest dawazao kamazinafanyakaz