chilali
Member
- Feb 25, 2019
- 51
- 19
Kama kichwa kinavyoo jieleza hapo juu wengi wetu hutoka kapa na kujikuta tunaishia kubambikwa tu, ukishatumiwa bidhaa unakuta kinyume na mategemeo yako.
Mfano: Resolution 1080p, battery 1000ahm,gps,inch 9.5,Ram 5,6mega pixel,Android 7.1 na vingine vingi.Mnisamehe kwa hizo specification maana duuuuh nahisi kuboronga mno.
Mfano: Resolution 1080p, battery 1000ahm,gps,inch 9.5,Ram 5,6mega pixel,Android 7.1 na vingine vingi.Mnisamehe kwa hizo specification maana duuuuh nahisi kuboronga mno.