Ili iweje sasa kama unataka kuambiwa,,,,au kuna jamaa yako anajenga so unataka kujuwaaaNdio
Wala usipotezi muda, wewe mtafute Magufuli tu, yeye ndio anajua siri za ujenzi wa maghorofa maana ghorofa la hostel lenye floor nne tena pana sana huku likiwa full Furniture pale UDSM aliweza kulijenga kwa milioni 500 tu. Hii haijawi kutokea popote duniani, maana kwa hiyo bei hata Furniture tu za ndani ya lile ghorofa haiwezi kutosha.
Mkuu hii inapatikana wapi kwa Dar, na je una idea yoyote kuhusu bei.Ili kuokoa muda na kujihakikishia ubora unaweza kununua zege ambayo imeshachanganywa toka kiwandani (ready made concrete )
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app