Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,471
- 37,730
Siku za hivi karibuni umezuka ugonjwa mpya ulioitwa "Changamoto ya upumuaji" ambayo baada ya uchunguzi wa kina wa Wataalamu wetu wakaja na hitimisho kwamba ni Nyumonia (pneumonia).
Leo huko Tanga Waziri mkuu akashauri ili kujikinga na ugonjwa huo kasema kitu kipya kabisa kwamba tuvae Barakoa kujikinga na magonjwa ya changamoto za upumuaji.
Sasa swali kwa wataalamu maana huyu ni msanasiasa tena Mwalimu kitaaluma. Je, nyumonia inakingwa kwa Barakoa?
Leo huko Tanga Waziri mkuu akashauri ili kujikinga na ugonjwa huo kasema kitu kipya kabisa kwamba tuvae Barakoa kujikinga na magonjwa ya changamoto za upumuaji.
Sasa swali kwa wataalamu maana huyu ni msanasiasa tena Mwalimu kitaaluma. Je, nyumonia inakingwa kwa Barakoa?