Si kweli kwamba haivutii sema tu hizo rangi hazikupendezi, mbona ni bomba? usimkatishe tamaa
haivutii kwangu sijasema kwako. kila mtu anamtazamo wake. unachokipenda ww sio lazima nikipende and vaisi versa. sijamkatisha tamaa ameomba maoni hayo ni yangu na ww sema yako sio unikosoe mimi