Isumbwile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 801
- 359
Habari zenu wadau,
For sometym nimekuwa naona watu wakijua mtu anabusha basi akikatiza mitaa ile wataanza kummock dat person in different ways including kujambisha (hopefully tunajua when i say dat)..
Sikuwahi kutake serious hadi leo nilipokuwa mitaa ya Mwenge stendi pale, kuna jamaa kumbe alikuwa anabusha na wale makonda na wapiga debe waligundua hilo, so wat was sad ni kwamba jamaa was about to board the bus ndo washikaji wakajambisha and the guy akaanguka and im not very sure bt i think alivunjika mkono.
So my question to JF doctors and other great thinkers, je kuna uhusiano gani kati ya mtu mwenye busha na kujambisha?
For sometym nimekuwa naona watu wakijua mtu anabusha basi akikatiza mitaa ile wataanza kummock dat person in different ways including kujambisha (hopefully tunajua when i say dat)..
Sikuwahi kutake serious hadi leo nilipokuwa mitaa ya Mwenge stendi pale, kuna jamaa kumbe alikuwa anabusha na wale makonda na wapiga debe waligundua hilo, so wat was sad ni kwamba jamaa was about to board the bus ndo washikaji wakajambisha and the guy akaanguka and im not very sure bt i think alivunjika mkono.
So my question to JF doctors and other great thinkers, je kuna uhusiano gani kati ya mtu mwenye busha na kujambisha?