#COVID19 Wataalamu: Kirusi cha Omicron kitashusha ufanisi wa chanjo kwa 40%

Watu wasiochanja ndiyo wanasababisha virusi hatari wazaliwe. Kuchanjwa kunapaswa kuwa lazima.
Umeambiwa chanjo, haizui mtu kupata vitus, bali akipata hasipate madhara makubwa.

Huko ujerumani, kuna mtu amechanjwa mara tatu, na amepata maambukizi.
 
Watz tunayo chanyo ya asili ilijitengeneza yenyewe tatizo ni kwenu mnaochanja hadi kinga za mwili zinapungua kwani ukusikia madhara ya chanjo za kovidi na HIV
Kama ulichanja ndui huna chanjo yeyote ya asili..watz,warundi waganda tuna tofautu gani?
 
Kama ulichanja ndui huna chanjo yeyote ya asili..watz,warundi waganda tuna tofautu gani?
Tofauti yetu ni njia tuliyo tumia kukabili kovidi sisi tuliacha miili ijichakatue yenyewe kujijenga konga na gonjwa la kovidi wao walijificha hata ndui ina chanjo ya asili pia ukipata usife inakuwa imejitengeneza tayari pia hii chanjo ya korona siyo ya kweli kiufanisi ni mbwembwe tu
 
Mnawawekea watu vikwazo wasije nchini mwenu bila kuchanjwa.
Mzigo umetoka mpya.
Na huo mzigo ungeanzia Tanzania kwa wabishi sijui ingekuwaje.
Maana tungesemwa na dunia nzima.
KUISHI kwetu kimasikini masikini ndo dawa ya huu ugonjwa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom