Wataalamu hebu tupeni elimu kwa hili jambo

Mr.Busta

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
672
99
WanaJF.Nimekuwa nikijiuliza muda mrefu kuhusu ugonjwa wa ukimwi na tiba yake kwamba mpaka sasa bado hauna tiba bila kupata majibu ya kitaalamu kwamba kwanini ugonjwa huu hauna tiba na sasa ni zaidi ya miaka 25 kwa Tz? Maana cna majibu ya kitaalanu ya kwann ugonjwa huu unakosa tiba? Je ugonjwa gani mwingine ambao udumu kwa muda mrefu bila tiba na baadae kupatiwa tiba yake? Je kuna matumaini yatiba katika huu ugonjwa? Tetes ulaya tic yake ipo je ni kweli? Wadau tupeni elimu kwa cc ambao co watalamu wa magonjwa.
 
Mkuu.@Mr.Busta Itachukuwa muda mrefu kupata dawa ya huo Ukimwi kitu muhimu ili kuepuka kupata ukimwi Watu waache mambo ya zinaa ikiwezekana mtu awe na mpenzi mmoja hapo ndipo itakapo patikana ufumbuzi wa huu ugonjwa dawa yake pasipo na hivyo hakuna tena ufumbuzi watu watazidi kufa kwa huu ugonjwa wa ukimwi kwa sababu Zinapozidi zinaa na ndipo haya maradhi yatazidi.
 



http://drey.orgfree.com

On April 12, 1955 Jonas Salk's polio vaccine was first licensed for public use in the U.S. In the years afterwards 90 million Americans were vaccinated in the largest mass vaccination campaign ever. Polio virtually disappeared from the continent and Jonas Salk became a hero.

But not long after, 260 children who were vaccinated with Salk's vaccine became sick. Eleven of them died. An investigation showed that some lots of the vaccine were defective and confidence in it was shaken.

Two scientific greats, Dr. Hilary Koprowski, director of the Wistar Institute in Philadelphia, and Dr. Albert Sabin, a physician at the Cincinnati Children's Hospital, raced to replace the Salk vaccine. Dr. Cecil Fox, a pathologist at the National Institute of Infectious Diseases remembers that it was an intense competition.

Both Sabin and Koprowski's vaccines were derived from monkey organs. They needed to test them in large, non-immunized population groups, no longer available in North America.

Sabin traveled to the U.S.S.R. and vaccinated more than 6 million people in Latvia, Estonia and Kazakhstan between 1958 and 1959. No AIDS cases emerged in the U.S.S.R. where Sabin did his testing.

Koprowski moved his study to the Belgian Congo which had one of Africa's more modern health care infrastructures at the time. Between 1956 and 1960 more then 1 million African people were 'encouraged' to receive Koprowski's vaccine called CHAT.

Sabin analyzed Koprowski's vaccine in 1958 and found it be be 'unstable and contaminated by an unknown virus'. He told Koprowski about his discovery and went then went public with his findings.
_____

Political / Health-related info - Visit the Ocular Stream's political section, for dozens of hard-hitting documentaries and films, all packed with physical evidence and sworn testimony.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom