Wataalam wa ving'amuzi nisaidieni "no signal"wakati kila kitu kipo sawa je shida ni nini?

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,627
Wakuu wanajukwaa Jf suluhisho la changamoto za kila namna hapa ndo nyumbani kabisa. Ni hivi hichi kingamuzi sijakitumia takribani miezi 7 sasa.

Mimi ni fundi kiasi kwasababu hata visumbusi huwa sitafuti fundi nafunga tu mwenyewe.

Issue ni kuwa hichi changu kimenishinda akili. Antenna ya nje fresh, waya kila kitu lakini inaandika no signal yaani no auto search haifanyi
Signal strength 0 signal quality 0 nimecheza na kisimbusi mpaka nimechoka! Bado kitu ni hicho hicho tu,

Wakuu jee nakwama wapi? Mnishauri maana nishachoka..

Update
Mrejesho

Ule waya unaotoka kwenye antenna kuelekea kwenye king'amuzi i mean kile kichuma kinachochomekwa kwenye king'amuzi kinachokua kimeungwa na waya wa antenna ndo kilikua na tatizo hivyo nimetoa kile kichuma na kuweka kingine hapo hapo king'amuzi kikafanya auto search na ghafla channel zikaingia zote 77
 
Huwezi kusema "Kila kitu kipo sawa" Wakati Signal strength ni 0 na Signal quality 0
Lazima kuna kitu hakipo sawa hapo,

Hebu cheki zile waya nyuma ya receiver kama zimekaa sawa,au zichune tena kisha zirudishe kwenye vile vinati vyake na kuvifunga tena.
 
Kubali hujui ili usaidiwe.
kwanza ni lazima unatumia kisimbuzi cha startimes ambacho ni cha hovyo dunia nzima!
.
chakufanya ni rahisi kama kunywa maji lala ukiamka utafanya vyema si unajua ila ukiendelea utawehuka ukapigize chini.
ukishindwa tena niambie ni kitendo kisichozidi dk tatu
 
Sawa sawa
Huwezi kusema "Kila kitu kipo sawa" Wakati Signal strength ni 0 na Signal quality 0
Lazima kuna kitu hakipo sawa hapo,

Hebu cheki zile waya nyuma ya receiver kama zimekaa sawa,au zichune tena kisha zirudishe kwenye vile vinati vyake na kuvifunga tena.
 
Huwezi kusema "Kila kitu kipo sawa" Wakati Signal strength ni 0 na Signal quality 0
Lazima kuna kitu hakipo sawa hapo,

Hebu cheki zile waya nyuma ya receiver kama zimekaa sawa,au zichune tena kisha zirudishe kwenye vile vinati vyake na kuvifunga tena.
Ukishindwa hapo chomoa hio LNB weka nyingne
 
king'amuzi chako cha dish au antena,kama umejimwambafai kuwa wewe ni fundi kwa nini usitumie satfinder upate signal
Wakuu wanajukwaa Jf suluhisho la changamoto za kila namna hapa ndo nyumbani kabisa. Ni hivi hichi kingamuzi sijakitumia takribani miezi 7 sasa.

Mimi ni fundi kiasi kwasababu hata visumbusi huwa sitafuti fundi nafunga tu mwenyewe.

Issue ni kuwa hichi changu kimenishinda akili. Antenna ya nje fresh, waya kila kitu lakini inaandika no signal yaani no auto search haifanyi
Signal strength 0 signal quality 0 nimecheza na kisimbusi mpaka nimechoka! Bado kitu ni hicho hicho tu,

Wakuu jee nakwama wapi? Mnishauri maana nishachoka..
 
Hapo Kunaweza Kukawa na Tatizo Kwenye Vitu Hivi ...
1=> KINGA'MUZI
Inawezekana King'amuzi chako Hakipokei Mawimbi Kutoka Kwenye Antena yako, Hvyo Kwa Njia Rahisi tafuta King'amuzi Sawa Na Chako ambacho kinatumika(Kizima) then jaribu kukiweka Kwako...

2=>WAYA
Mda Mwingine Waya Wa Antena Unaotumia Unaweza Kusababisha Tatzo Angalia Kama Kuna Sehemu Umejikunja Pengine Unaweza ukawa umekatiKa Ndani Hvyo Kupelekea Kutofikisha Mawimbi ya Antena Kwnye Kisimbuzi chako, Pia angalia baada Ya Kuchomeka waya Kwenye king'amuzi chako je moto unafika Kuelekea Kwenye Antena Yako.

3=> KUKOSEA SEHEMU YA KUCHOMEKA WAYA WA ANTENA
Pia Angalia Je Huo waya Wako Wa Antena Umechomeka Sehemu Sahihi, Waya Wa Antena Inabidi Uchomekwe Sehemu iliyoandikwa LNB INN AU RF IN.

Maelezo Mengine Nafikili Wamekueleza Wadau Apo Juu ikiwemo Kuchuna Waya Upya, Hivyo Jaribu Kwanza Njia Hzo Kisha Ulete Mrejesho Apa..
 
Jambo jengine labda wamebadili frequency? Sifahamu kama Auto search inatosha kupata Frequency mpya unaweza jaribu kuweka manual.
 
Asante sana kaka..

Mrejesho

Ule waya unaotoka kwenye antenna kuelekea kwenye king'amuzi i mean kile kichuma kinachochomekwa kwenye king'amuzi kinachokua kimeungwa na waya wa antenna ndo kilikua na tatizo hivyo nimetoa kile kichuma na kuweka kingine hapo hapo king'amuzi kikafanya auto search na ghafla channel zikaingia zote 77
Hapo Kunaweza Kukawa na Tatizo Kwenye Vitu Hivi ...
1=> KINGA'MUZI
Inawezekana King'amuzi chako Hakipokei Mawimbi Kutoka Kwenye Antena yako, Hvyo Kwa Njia Rahisi tafuta King'amuzi Sawa Na Chako ambacho kinatumika(Kizima) then jaribu kukiweka Kwako...

2=>WAYA
Mda Mwingine Waya Wa Antena Unaotumia Unaweza Kusababisha Tatzo Angalia Kama Kuna Sehemu Umejikunja Pengine Unaweza ukawa umekatiKa Ndani Hvyo Kupelekea Kutofikisha Mawimbi ya Antena Kwnye Kisimbuzi chako, Pia angalia baada Ya Kuchomeka waya Kwenye king'amuzi chako je moto unafika Kuelekea Kwenye Antena Yako.

3=> KUKOSEA SEHEMU YA KUCHOMEKA WAYA WA ANTENA
Pia Angalia Je Huo waya Wako Wa Antena Umechomeka Sehemu Sahihi, Waya Wa Antena Inabidi Uchomekwe Sehemu iliyoandikwa LNB INN AU RF IN.

Maelezo Mengine Nafikili Wamekueleza Wadau Apo Juu ikiwemo Kuchuna Waya Upya, Hivyo Jaribu Kwanza Njia Hzo Kisha Ulete Mrejesho Apa..
 
Jambo jengine labda wamebadili frequency? Sifahamu kama Auto search inatosha kupata Frequency mpya unaweza jaribu kuweka manual.
Asante sana mkuu


Ule waya unaotoka kwenye antenna kuelekea kwenye king'amuzi i mean kile kichuma kinachochomekwa kwenye king'amuzi kinachokua kimeungwa na waya wa antenna ndo kilikua na tatizo hivyo nimetoa kile kichuma na kuweka kingine hapo hapo king'amuzi kikafanya auto search na ghafla channel zikaingia zote 77
 
Mrejesho: Ule waya unaotoka kwenye antenna kuelekea kwenye king'amuzi i mean kile kichuma kinachochomekwa kwenye king'amuzi kinachokua kimeungwa na waya wa antenna ndo kilikua na tatizo hivyo nimetoa kile kichuma na kuweka kingine hapo hapo king'amuzi kikafanya auto search na ghafla channel zikaingia zote 77
 
Mrejesho: Ule waya unaotoka kwenye antenna kuelekea kwenye king'amuzi i mean kile kichuma kinachochomekwa kwenye king'amuzi kinachokua kimeungwa na waya wa antenna ndo kilikua na tatizo hivyo nimetoa kile kichuma na kuweka kingine hapo hapo king'amuzi kikafanya auto search na ghafla channel zikaingia zote 77

Hicho hapo pichani ndo kilikua na shidanimebadili hicho
IMG_20200612_215449_981.jpeg
IMG_20200612_215455_189.jpeg
IMG_20200612_215520_811.jpeg
 
Back
Top Bottom