KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,213
- 56,849
Forum kama hii ilitakiwa sahivi kuwe na mjadala mkali wa kuelezea kwanini kuna mfumuko wa bei na kutoa mapendekezo ya nini cha kufanya ili kutatua,badala yake naona kimya tu na mijadala myengine tu ndo imeshika hatamu.
Tusisahau historia ya Forum hii imekuwa ni chachu ya kuleta mabadiliko mbalimbali kutokana na mijadala mbalimbali, nafikiri huu no muda muafaka kwenu wachumi huu ni upande wenu.
Hamjui uchumi unatuchumu😂
Tusisahau historia ya Forum hii imekuwa ni chachu ya kuleta mabadiliko mbalimbali kutokana na mijadala mbalimbali, nafikiri huu no muda muafaka kwenu wachumi huu ni upande wenu.
Hamjui uchumi unatuchumu😂