Wataalam wa Tally, Excel, QuickBook na Hesabu mtusaidie ile 100.01% ya Chebukati imekaaje?

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,206
12,907
Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%!

Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine wakisema kuna kura zimeongezwa kinyume na utaratibu!

Sina shakha Raila anaenda mahakamani ila moja ya hoja itakayoibuka basi ni ya hii Percentage kufikia 100.01%. Wataalam wa Hesabu Jamii Forums mnasemaje?

20220816_170314.jpg
 
Madhara ya kukaribishia hayo. Mfano unakuta Odinga ana 48.846 wao wakaona iwe 2 decimal places.

Mfano hai:

Jumla ya kura ukijumlisha ni: 14,213,027
Rutto amepata: 7,176,141
Ambazo ni Asilimia: 50.48988508922132
Wao kwa undezi wameandika 50.49
 
Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%!

Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine wakisema kuna kura zimeongezwa kinyume na utaratibu!

Sina shakha Raila anaenda mahakamani ila moja ya hoja itakayoibuka basi ni ya hii Percentage kufikia 100.01%. Wataalam wa Hesabu Jamii Forums mnasemaje?

View attachment 2325456
Negligible
 
Kwamba mahakama itengue ushindi wa Ruto kisa hivyo vi decimal places😊. NEVER.
0.01 ni Kura 1420..kinachoonekana hapo ni uchakachuaji,na kwa maelezo ya raila Kama kweli mwenyekiti wa tume hana mamlaka ya kutangaza matokeo peke yake Basi Pana jambo
 
Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%!

Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine wakisema kuna kura zimeongezwa kinyume na utaratibu!

Sina shakha Raila anaenda mahakamani ila moja ya hoja itakayoibuka basi ni ya hii Percentage kufikia 100.01%. Wataalam wa Hesabu Jamii Forums mnasemaje?

View attachment 2325456
Curable error.
 
Naunga mkono

Sisi HKL hii hesabu imetuvuruga
Kwa mfano ukiwa namba yenye desimali nne kisha ukazikaribisha kwenye namba ya ukamilifu ukifanya majumuisho mwishoni lazima asilimia itazidi kama inavyoonekana
1. 12.4382...................................12.44
2. 24.5264...............................24.53
3. 37.1749.................................37.18
4. 50.7356 ............................50.74
124.8751 versus 124.89 (Tofauti yake ni 0.0149) ambayo ukiikaribisha kwenye namba kamili ina kuwa 0.02

Tanbihi: Asilimia imetafutwa baada ya kuzikaribisha namba kutoka kwenye desimali ndio ikaleta asilimia 100.01%

Maelezo :

Round a number up by using the ROUNDUP function. It works just the same as ROUND, except that it always rounds a number up. For example, if you want to round 3.2 up to zero decimal places: =ROUNDUP(3.2,0) which equals 4.
Please follow the link for further mathematical deduction insight:
 
Madhara ya kukaribishia hayo. Mfano unakuta Odinga ana 48.846 wao wakaona iwe 2 decimal places.

Mfano hai:

Jumla ya kura ukijumlisha ni: 14,213,027
Rutto amepata: 7,176,141
Ambazo ni Asilimia: 50.48988508922132
Wao kwa undezi wameandika 50.49
Kaka unajua,

Pia kwa upande wangu hayo ni makosa ya kawaida tu wala hayana issue yoyote na kuongeza kura...
 
Ilitakiwa jumla ya kura ziwe 99.9999% na sio 100.01%
Au Kama vipi wangeandika tu zile figure Kama zilivyo bila kujali hata Kama ni ten decimal place.
 
Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%!

Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine wakisema kuna kura zimeongezwa kinyume na utaratibu!

Sina shakha Raila anaenda mahakamani ila moja ya hoja itakayoibuka basi ni ya hii Percentage kufikia 100.01%. Wataalam wa Hesabu Jamii Forums mnasemaje?

View attachment 2325456
Hiyo hesabu mbona mzee kikwete anaijua
 
Back
Top Bottom