Wataalam wa maswala ya hosting pamoja na cpanel, mysql njooni hapa

ymollel hata kwenye wordpress kuna drag and drop builders na unaweza uka customize codes. Nishatumia front page, dreamwever, wix na izo page builders za provided by webhosts coys, zote ni drag and drop.

Hujatumia dreamweaver wewe, hayo unayosema yote unayafanya na tena unaweza ku edit codes ukitaka.
Unaposema DW ni drag n drop unakosea sana. Hata wordpress yenyewe drag n drop ipo kwenye menus na some image objects peke yake.

DW ni professional editor na ukiita drag n drop basi unaishusha sana.
Tofautisha kati ya INSERT na Drag/Drop. Kwenye dw unaweza kuInsert baadhi ya vitu kama vile table, image, buttons lakini sio dragging.

Mfano mwingine mzuri wa program ambayo ni drag n drop ni VB6 na VB editor zingingine.

Kama dw ni drag n drop basi application zote duniani ni drag n drop kuanzia Excel, photoshop, fireworks kwasababu kote huko kuna kuInsert objects.
 
Unakosea. Front Page na publisher na Dreamweaver sio drag n drop.

Hata MS word yenyewe ambayo ni WYSIWYG pia sio drag and drop.

Wewe hujawahi kutumia hii WYSIWYG WEB builder ungetambua kwanini ni Drag n drop.

Unadrag na kuDrip kila kitu, kila element kuanzia layout floating div , buttons, slideshow, text content, image n.k.

Tofauti na huko kwingine ukitaka kuhamisha kitu labda utumie spaceBar.
Hii software ya WYSIWYG naweza kuitumia 100% lakini shida nikuvipublish hizo files katika host husika yaani hazionekan kabisa kama ninavyo taka
 
Hii software ya WYSIWYG naweza kuitumia 100% lakini shida nikuvipublish hizo files katika host husika yaani hazionekan kabisa kama ninavyo taka

Export kwanza kama html, then view kwanza locally uone inaonekanaje.
 
Unaposema DW ni drag n drop unakosea sana. Hata wordpress yenyewe drag n drop ipo kwenye menus na some image objects peke yake.

DW ni professional editor na ukiita drag n drop basi unaishusha sana.
Tofautisha kati ya INSERT na Drag/Drop. Kwenye dw unaweza kuInsert baadhi ya vitu kama vile table, image, buttons lakini sio dragging.

Mfano mwingine mzuri wa program ambayo ni drag n drop ni VB6 na VB editor zingingine.

Kama dw ni drag n drop basi application zote duniani ni drag n drop kuanzia Excel, photoshop, fireworks kwasababu kote huko kuna kuInsert objects.
Umekariri tatizo... Screenshot nlokuletea inatosha kukwambia kuwa Dreamweaver in drag and drop na code editor... Labda kama wewe ni mtaalam zaidi kuliko wanaojua hio software yenyewe
 
Umekariri tatizo... Screenshot nlokuletea inatosha kukwambia kuwa Dreamweaver in drag and drop na code editor... Labda kama wewe ni mtaalam zaidi kuliko wanaojua hio software yenyewe
Sawa ni kwa uelewa wako kwamba hizo ni drag n drop. Nimetumia dreamweaver since version 8. Na sio drag n drop. Kama wewe ulifanya drag n drop sema ulidrag nini na ukadrop wapi kwa DW.

Halafu Nipe mfano wa WebBuilder ambazo sio drag n drop.

Nikupe tu idea kidogo ya software za web ambazo ni za offline na ni drag n drop na ambazo "SIO HTML editor" kama wewe hukuwahi kuzifahamu hizi basi una safari ndefu.

1. WYSIWYG web builder
2. Artisteer
 

Attachments

  • IMG_20201025_113408.jpg
    IMG_20201025_113408.jpg
    297.5 KB · Views: 1
  • IMG_20201025_112949.jpg
    IMG_20201025_112949.jpg
    133.2 KB · Views: 1
  • IMG_20201025_113138.jpg
    IMG_20201025_113138.jpg
    287.5 KB · Views: 1
Sawa ni kwa uelewa wako kwamba hizo ni drag n drop. Nimetumia dreamweaver since version 8. Na sio drag n drop. Kama wewe ulifanya drag n drop sema ulidrag nini na ukadrop wapi kwa DW.

Halafu Nipe mfano wa WebBuilder ambazo sio drag n drop.

Nikupe tu idea kidogo ya software za web ambazo ni za offline na ni drag n drop na ambazo "SIO HTML editor" kama wewe hukuwahi kuzifahamu hizi basi una safari ndefu.

1. WYSIWYG web builder
2. Artisteer
Narudia tena, wewe tatizo umekariri neno drag and drop, lakini hujui maana yake. Drag and Drop builder huwa software ambayo unaweza kuweka element/item bila kuhitaji kuweka code.

Notepad sio drag and drop Web builder. A very simple program tu lakini unaweza kutengeza any type of website ukijua coding. Darg and drop builders ni zile ambazo zinakuwezesha kutengeza website bila kuandika codes.

Hizo software za web unazonipa za kutaka kunionesha nini? Wewe unafikiri kuwa WYSIWYG ni brand name wakati maana yake ni What You See Is What You Get. Hata kama kuna software coy imeamua kuiita software yao jina ilo, bado ina maana ile ile ya general meaning tu.

Capture1.PNG
 
Narudia tena, wewe tatizo umekariri neno drag and drop, lakini hujui maana yake. Drag and Drop builder huwa software ambayo unaweza kuweka element/item bila kuhitaji kuweka code.

Notepad sio drag and drop Web builder. A very simple program tu lakini unaweza kutengeza any type of website ukijua coding. Darg and drop builders ni zile ambazo zinakuwezesha kutengeza website bila kuandika codes.

Hizo software za web unazonipa za kutaka kunionesha nini? Wewe unafikiri kuwa WYSIWYG ni brand name wakati maana yake ni What You See Is What You Get. Hata kama kuna software coy imeamua kuiita software yao jina ilo, bado ina maana ile ile ya general meaning tu.

View attachment 1611467
Neno WYSIWYG unafundishwa punde unapoanza kujifunza software rahisi kama MS word. Na MS WORD ndio mfano halisi wa WYSIWYG hapa hakuna haja ya kutafsiriana maana ya WYSIWYG (hata wanaosoma secretarial wanajua).

Hapa unachangaya vitu viwili
1. WYSIWYG
2.DRAG and DROP

Sio kila software ni WYSIWYG, na sio kila WYSIWYG software ni Drag And Drop.

Turudi kwenye MADA
"WYSIWYG web builder " ni jina la software ambayo Sio HTML editor na unatengeneza website bila kujua au bila kushughulika na HTML code.

Software hii ni drag n drop kama ilivyo (Artisteer)

Kumaanisha kwamba Unadrag object na kuiachilia kwenye page, na kuiPosition bila kubadilisha chochote kwenye html code.

Vitu unavyoweza kudrag / kuPosition:
1. Buttons
2. Images /media
3. Banners
4. Text containers
5. Tables
6. Entire page contents

Na almost kila kitu. Na bado you end up with What You See Is What You Get.

---++++++++

Sasa njoo kwenye DreamWeaver
Kwanza Chochote chenye Reference ambayo sio HTML (Kama vile Menu yako ipo kwenye separate PHP file) haitaonekana kwenye design view , na content yoyote ambayo sio HTML haitaonekana kwenye design view. Hapo tu tayari Imekosa feature ya WYSIWYG.

Na wakati kwenye WYSIWYG web builder na Artisteer , hadi slideshow inaonekana kwenye design view.

Nadhani umepata idea.
 
Hapa unachangaya vitu viwili
1. WYSIWYG
2.DRAG and DROP

Sio kila software ni WYSIWYG, na sio kila WYSIWYG software ni Drag And Drop.
Hakuna nilipochanganya hizo 2 terms.

Turudi kwenye MADA
"WYSIWYG web builder " ni jina la software ambayo Sio HTML editor na unatengeneza website bila kujua au bila kushughulika na HTML code.

Software hii ni drag n drop kama ilivyo (Artisteer)

Kumaanisha kwamba Unadrag object na kuiachilia kwenye page, na kuiPosition bila kubadilisha chochote kwenye html code.

Vitu unavyoweza kudrag / kuPosition:
1. Buttons
2. Images /media
3. Banners
4. Text containers
5. Tables
6. Entire page contents

Na almost kila kitu. Na bado you end up with What You See Is What You Get.
ndio maana nikasema hao walikuwa wavivu tu kuja jina lao kwa sababu kusema kuwa hii software inaitwa WYSIWYG ni sawa na kusema software yangu inaitwa Video Editor, ni kushindwa kuja na jina tu.

Browsers zina language ambazo zinafahmu, kama HTML na CSS/javascript. Sasa wakati wewe una design kupitia page builder, unafikiri nyuma yake hakuna htm code na css code? Kwa sababu wewe huone na huwezi kuedit izo code, haimaanishi kuwa hio builder haitumii hizo rules. Browser needs the code to render the website.

Wordpress page builders, ina features zote izo unazozisema sijui kuweka buttons, images n.k na still unaweza kuedit codes ukitaka na kama umeridhishwa na style yake stock basi unaacha tu. Kwa mfano Beaver Builder unataka kunambia kuwa sio drag and drop builder with code editing capabilties? na sio WYSIWYG editor?

Narudi kwa herufi kubwa : DRAG AND DROP BUILDER NI BUILDER AMBAYO INAKUPA UWEZO WA KUTENGEZA WEBSITE BILA WEWE KUANDIKA CODE. NA KWENYE DREAMWEAVER UNAWEZA.

Sasa njoo kwenye DreamWeaver
Kwanza Chochote chenye Reference ambayo sio HTML (Kama vile Menu yako ipo kwenye separate PHP file) haitaonekana kwenye design view , na content yoyote ambayo sio HTML haitaonekana kwenye design view. Hapo tu tayari Imekosa feature ya WYSIWYG.

Na wakati kwenye WYSIWYG web builder na Artisteer , hadi slideshow inaonekana kwenye design view.

Nadhani umepata idea.

how do you expect to see php in design view wakati hio ni server scripting language na sio design language? Artisteer unaweza kuona php file in design? mfano code hii hapa chini kuna any design element?

<?php
echo "My first PHP script!";
?>

Hata dreamweaver unaweza kueka slideshow na ukaona kwenye design view haina haja kuandika ma code.
 
Hakuna nilipochanganya hizo 2 terms.


ndio maana nikasema hao walikuwa wavivu tu kuja jina lao kwa sababu kusema kuwa hii software inaitwa WYSIWYG ni sawa na kusema software yangu inaitwa Video Editor, ni kushindwa kuja na jina tu.

Browsers zina language ambazo zinafahmu, kama HTML na CSS/javascript. Sasa wakati wewe una design kupitia page builder, unafikiri nyuma yake hakuna htm code na css code? Kwa sababu wewe huone na huwezi kuedit izo code, haimaanishi kuwa hio builder haitumii hizo rules. Browser needs the code to render the website.

Wordpress page builders, ina features zote izo unazozisema sijui kuweka buttons, images n.k na still unaweza kuedit codes ukitaka na kama umeridhishwa na style yake stock basi unaacha tu. Kwa mfano Beaver Builder unataka kunambia kuwa sio drag and drop builder with code editing capabilties? na sio WYSIWYG editor?

Narudi kwa herufi kubwa : DRAG AND DROP BUILDER NI BUILDER AMBAYO INAKUPA UWEZO WA KUTENGEZA WEBSITE BILA WEWE KUANDIKA CODE. NA KWENYE DREAMWEAVER UNAWEZA.



how do you expect to see php in design view wakati hio ni server scripting language na sio design language? Artisteer unaweza kuona php file in design? mfano code hii hapa chini kuna any design element?

<?php
echo "My first PHP script!";
?>

Hata dreamweaver unaweza kueka slideshow na ukaona kwenye design view haina haja kuandika ma code.
Include php object inside html code. ndio utaelewa nilichomaanisha.
 
Include php object inside html code. ndio utaelewa nilichomaanisha.
Unajua kuwa unaweza kuinclude php object bila kuandika mstari hata mmoja wa code kwenye dreamweaver? kila kitu ni dialog boxes tu unajaza required info dreamweaver inakufanyia kazi nyuma?

Umezoea drag and drop za kina weebly na wix kwaio ukaona kuwa Dreamweaver sio drag and drop kwa sababu tu imebadilishiwa UI na jinsi ya kueka element, lakini kiuhalisia, wewe wakati drag hio table kuiweka kwenye page, nyuma kuna code inaandikwa ya table, wewe ukifanya resize ama kueka background color, nyuma code za css zinatengezwa. Na dreamweaver inafanya kazi kama ivo na inakupa zaidi ya kuweza kuchungulia code na kuzifanya upendavyo.

Msikariri vijana
 
Unajua kuwa unaweza kuinclude php object bila kuandika mstari hata mmoja wa code kwenye dreamweaver? kila kitu ni dialog boxes tu unajaza required info dreamweaver inakufanyia kazi nyuma?

Umezoea drag and drop za kina weebly na wix kwaio ukaona kuwa Dreamweaver sio drag and drop kwa sababu tu imebadilishiwa UI na jinsi ya kueka element, lakini kiuhalisia, wewe wakati drag hio table kuiweka kwenye page, nyuma kuna code inaandikwa ya table, wewe ukifanya resize ama kueka background color, nyuma code za css zinatengezwa. Na dreamweaver inafanya kazi kama ivo na inakupa zaidi ya kuweza kuchungulia code na kuzifanya upendavyo.

Msikariri vijana
Tatizo umekariri kila kitu ukigoogle unakomalia ile jibu linakuja la kwanza. Ndio shida ya vijana wa sasa hivi. Kama kweli unaiita dreamweaver ni drag n drop na hata hukuwa kuijua "wysiwyg web builder" software za miaka michache tu iliyopita sijui ilikuwa ni 2007.

Umeshindwa kutoa mfano wa software ambayo sio drag n drop. Kuacha notepad ambayo hiyo ni universal text editor. Nakupa nafasi ya kugoogle zaidi.
 
Tatizo umekariri kila kitu ukigoogle unakomalia ile jibu linakuja la kwanza. Ndio shida ya vijana wa sasa hivi. Kama kweli unaiita dreamweaver ni drag n drop na hata hukuwa kuijua "wysiwyg web builder" software za miaka michache tu iliyopita sijui ilikuwa ni 2007.

Umeshindwa kutoa mfano wa software ambayo sio drag n drop. Kuacha notepad ambayo hiyo ni universal text editor. Nakupa nafasi ya kugoogle zaidi.
Wewe unajua Software zote zilizopo duniani za kutengeza website? kwa sababu mimi sina haja ya kujua kila software iliopo duniani, natizama ile inayokidhi mahitaji yangu.

Mfano kama mimi nimeamua kuwa IOS dev, basi nitabase kwenye IOS tools, za android nitazipotezea, sasa ukija kunambia kuwa eti "mtu mwenyewe huzijui android tools" so what? what is your point there?

Linapokuja suala la drag and drop, Dreamweaver ni Drag and drop builder na ni code editor. Kwa sababu dreamweaver inakuwezesha kutengeza website bila kuandika mstari wa code, basi inasifa ya drag and drop builder, na kawa sababu pia inakuwezesha kuandika code zako mwenyewe, pia ni code editor. Dremweaver unaweza kuweka slideshow bila kuandika code, unaweza kueka button bila kuandika code, unaweza kueka table bila kuandika code etc hata dynamic website unaweza kutengeza bila kuandika code!

Halafu nikwambie jambo jengine, mimi nilikuwa natumia Notepad au Notepad++, pale nlipokuwa najiskia nna hamu ya kuandika andika tu, na nlipokuwa sina hamu natumia Dreamweaver ambayo inaniwezesha kutengeza website bila kuandika code.

Wewe ndio umekariri, yaani unakuja kunambie eti dreamweaver una insert :D sasa wewe ukidrag ile element na kuitupa kwenye page huoni kama una insert tu vile vile? Au kwa sababu Dreamweaver ipo old style na very complex ndio ukaona sio drag and drop? Umebabaishwa na UI tu.

NASEMA TENA, DRAG AND DROP BUILDER NI PAGE BUILDER AMBAYO INAKUWEZESHA KUTENGEZA WEBSITE BILA KUANDIKA MSTARI WA CODE, NA DREAMWEAVER INAFANYA IVO!


Soma hio article, hao ni web hosting company. Yes, everything i googled, but i know where to look for information, sio kama wewe ambae unaona google is not a good resourceful websites simply because you dont know how to use it.
 
Wewe unajua Software zote zilizopo duniani za kutengeza website? kwa sababu mimi sina haja ya kujua kila software iliopo duniani, natizama ile inayokidhi mahitaji yangu.

Mfano kama mimi nimeamua kuwa IOS dev, basi nitabase kwenye IOS tools, za android nitazipotezea, sasa ukija kunambia kuwa eti "mtu mwenyewe huzijui android tools" so what? what is your point there?

Linapokuja suala la drag and drop, Dreamweaver ni Drag and drop builder na ni code editor. Kwa sababu dreamweaver inakuwezesha kutengeza website bila kuandika mstari wa code, basi inasifa ya drag and drop builder, na kawa sababu pia inakuwezesha kuandika code zako mwenyewe, pia ni code editor. Dremweaver unaweza kuweka slideshow bila kuandika code, unaweza kueka button bila kuandika code, unaweza kueka table bila kuandika code etc hata dynamic website unaweza kutengeza bila kuandika code!

Halafu nikwambie jambo jengine, mimi nilikuwa natumia Notepad au Notepad++, pale nlipokuwa najiskia nna hamu ya kuandika andika tu, na nlipokuwa sina hamu natumia Dreamweaver ambayo inaniwezesha kutengeza website bila kuandika code.

Wewe ndio umekariri, yaani unakuja kunambie eti dreamweaver una insert :D sasa wewe ukidrag ile element na kuitupa kwenye page huoni kama una insert tu vile vile? Au kwa sababu Dreamweaver ipo old style na very complex ndio ukaona sio drag and drop? Umebabaishwa na UI tu.

NASEMA TENA, DRAG AND DROP BUILDER NI PAGE BUILDER AMBAYO INAKUWEZESHA KUTENGEZA WEBSITE BILA KUANDIKA MSTARI WA CODE, NA DREAMWEAVER INAFANYA IVO!


Soma hio article, hao ni web hosting company. Yes, everything i googled, but i know where to look for information, sio kama wewe ambae unaona google is not a good resourceful websites simply because you dont know how to use it.
Swala la msingi Mtatue tatizo la jamaa, Mengine hayafai.
 
Back
Top Bottom