Nataka kufahamu nikitaka kufanya biashara kwa kutumia Instagram. Je ni bidhaa ipi inayouza sana?
Wanasema vitu wanavyopenda wanawake ndio vina wateja sana.
Wengine wanasema watu wa maofisini (mashefa) ndio wanunuzi wazuri mitandaoni.
Ningependa kujua bidhaa moja
(niche) nayoweza kuuza kwa kutumia Instagram.
Iwe ni viatu, urembo, nguo, mapambo, vitu vya nyumbani nisaidie maoni chochote kulingana na uzoefu wako.
Wanasema vitu wanavyopenda wanawake ndio vina wateja sana.
Wengine wanasema watu wa maofisini (mashefa) ndio wanunuzi wazuri mitandaoni.
Ningependa kujua bidhaa moja
(niche) nayoweza kuuza kwa kutumia Instagram.
Iwe ni viatu, urembo, nguo, mapambo, vitu vya nyumbani nisaidie maoni chochote kulingana na uzoefu wako.