Wataalam wa MAONO: Hali ya Mtanzania itakuwaje siku watuhumiwa wa ufisadi wakibalance CCM na CHADEMA?

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,697
Nawaza, najaribu kuwaza huku nikijitenga kabisa na ufisadi ktk level za kitaifa maana nimeamua kudeal na ule wa ngazi ya familia na mtaa maana unanigusa haraka na madhara yake ni haraka zaidi.

najaribu kufuatilia huu mtanange wa wanaosadikiwa kuwa watuhumiwa wa Ufisadi wa kitaifa wakibadilishana jezi huku mashabiki wakibadili aina za santuri katika kusifu na kuabudu v/s kuponda na kutuhumiana.
Najiuliza wataalamu wa kuona mambo ya kisiasa kwa kina, Hali ya mtanzania itakuwaje siku kukiwa na 50/50 ya watuhumiwa wa ufisadi katika vyama hivi viwili?

Mimi kama mwananchi mtaani ambae nimeamua kukubwisha siasa za nyumba kumikumi na siasa za familia na kudogosha siasa za Kibunge na kitaifa hali yangu itakuwaje katika njia panda hiyo?
 
unaongelea wale wa MV Dar es salaam na nyumba za serikali pamoja na kuvunja mikataba ambayo inatufanya tulipe fidia kubwa mpaka ndege ikakamatwa?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kiukweli watanzania tutakuwa na wakati mgumu sana.....Mfano mdogo tu leo Msigwa na Nyalandu wako timu moja.... baada ya kununuana kwenye utawala wa Kikwete.

Tuombe Mungu kizaliwe chama kingine cha upinzani mbadala wa Chadema....iliyoacha kukemea ufisadi hadi kutetea ufisadi na mafisadi.
 
mramba na daniel yona bado wanachama wa ccm

Dc wa arumeru kapandishwa cheo kwa kufanikiwa kutoa rushwa

jerry murro msemaji wa ccm aliwahi kukamatwa na rushwa akapelekwa mahakamani,sasa ndio kipenzi cha wana ccm
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa kuwa hiyo haiko mbali sana,itabidi wananchi tupeleke mswada wa dharula bungeni kusitisha kampeni..muda ukifika ni kuchagua tu kwanza vyama vyetu havina vision wala mission,ni mahaba tu.
 
kuna mmoja alikuwa anawaomba magari watuhumiwa wa madawa ya kulevya,wakimnyima anawaweka rumande
 
Id yako inatosha kabisa kukuelezea akili yako ilivyo... kinembe
hahaha...
akili ya team kusifu na kuabudu...
anaogelea kwenye bwawa la sumu ya kufisha haraka (tena mabomba ya taka sumu yameelekezewa humo) huku akifundisha watu jinsi ya kuepuka kuogelea maji yenye wadudu wa kusababisha kichocho.
 
Kiukweli watanzania tutakuwa na wakati mgumu sana.....Mfano mdogo tu leo Msigwa na Nyalandu wako timu moja.... baada ya kununuana kwenye utawala wa Kikwete.

Tuombe Mungu kizaliwe chama kingine cha upinzani mbadala wa Chadema....iliyoacha kukemea ufisadi hadi kutetea ufisadi na mafisadi.

Wala usitie shaka kwakua CCM ya mafisadi iliamua kutokufa basi sasa vyama vimebaki na kila anayeongoza ndiyo ishara ya wale wanaofanana ku assemble nyuma yake...Kwa sasa tunakaribia ku balance mafisadi wanajulikana upande wao sasa na wale wanaoamini katika utaifa alama na kiongozi wao anajulikana....Hapo soon tutaheshimiana tu...Its now clear than before who stands for what...Hakuna deals tena, hakuna faida binafsi so tutachujika tu na wale ambao bado hawajagundua wako kwenye wrong places watajichekecha as we go on...The architect is just watching from a far how the command is silently followed...
 
Lakini Web wewe uko upande gani? Wa nchi, wa CCM ama wa CHADEMA? Some of us are for the country's future so for me it does not matter whatever available resources can be used to build future; unfortunately I see CHADEMA for politics to be an avenue where we can take our national agenda for its not yet developed into a dominant system na baadaye tutaiacha iendele na politics zake na kuwapa nafasi wengine kuanza parties zinazoweza kufanya politics na siyo kulinda mafia interests; wakati huo wengine tutaendelea na profession zetu na kujitenga mbali na siasa kwani siasa siyo sehemu yetu. This is a war where we dont care what can be used to deafeat the enemy! I ask you to join us in this fight; the fight for our true identity as a country. Its a holly fight which the reward is not from man but from Him we all belong to. Is a fight for the help of the poor and needy who are taken captive at their own will by the people they trusted can defend them and their interests. Few can die and few can loose some of their parts but majority including our descendants, shall win and rejoice forever.

If God is with us who can be against us? If God say Yes who can say no? A thousands shall fall by our sides and ten thousands by our right hands. I am a risine to shine, the light which is in me nobody can put it off for its a greater light and have decided to live on the day time of my country's life. I leave the darkness to whoever feel comfortable to stay with it but for me no time to waste and for this case it does not mater whether CHADEMA or whatever available to be used to reflect the light I am giving out to make others see we are heading in the wrong direction and soon will fall into a ditch.

Do you believe in prophesy?

We are the architect and we know where we are heading just have your cool!

This is called never seen before, we change the course and the sad story is, we are here to stay until all knees bow and their associated tongues confess that He is Lord author of creation, master of all, mighty, omniscient, I am who Iam!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom