mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Nawaza, najaribu kuwaza huku nikijitenga kabisa na ufisadi ktk level za kitaifa maana nimeamua kudeal na ule wa ngazi ya familia na mtaa maana unanigusa haraka na madhara yake ni haraka zaidi.
najaribu kufuatilia huu mtanange wa wanaosadikiwa kuwa watuhumiwa wa Ufisadi wa kitaifa wakibadilishana jezi huku mashabiki wakibadili aina za santuri katika kusifu na kuabudu v/s kuponda na kutuhumiana.
Najiuliza wataalamu wa kuona mambo ya kisiasa kwa kina, Hali ya mtanzania itakuwaje siku kukiwa na 50/50 ya watuhumiwa wa ufisadi katika vyama hivi viwili?
Mimi kama mwananchi mtaani ambae nimeamua kukubwisha siasa za nyumba kumikumi na siasa za familia na kudogosha siasa za Kibunge na kitaifa hali yangu itakuwaje katika njia panda hiyo?
najaribu kufuatilia huu mtanange wa wanaosadikiwa kuwa watuhumiwa wa Ufisadi wa kitaifa wakibadilishana jezi huku mashabiki wakibadili aina za santuri katika kusifu na kuabudu v/s kuponda na kutuhumiana.
Najiuliza wataalamu wa kuona mambo ya kisiasa kwa kina, Hali ya mtanzania itakuwaje siku kukiwa na 50/50 ya watuhumiwa wa ufisadi katika vyama hivi viwili?
Mimi kama mwananchi mtaani ambae nimeamua kukubwisha siasa za nyumba kumikumi na siasa za familia na kudogosha siasa za Kibunge na kitaifa hali yangu itakuwaje katika njia panda hiyo?