Tunataka kujenga vyama viwili vyenye nguvu acha wabaki huko ili tutakapo wamaliza mafisadi tubaki na watu wenye akili timamu kwenye vyama vyetu viwili kujenga nchi aliyotuwekea misingi baba wa taifa letu. Tutakuwa tunashindana kwa nguvu ya hoja na si kwa nguvu ya matumbo na ukubwa wa vitambi.
Duuh...na sehemu tulisema giza likitanda nguvu ya neno hili litawavuta wote wenye nia moja sehemu moja na wale wengine watabaki wasiamini kinachotokea...Tumefanya tumemaliza kazi kwenu sasa kuendeleza vyama vyenu...
I rest my case!
Mwana wa Adam aenda zake kujipumzikia ale pension yake na baadaye uzima wa milele...For those expecting un expected too little too late to catch the train...Mchezo umekwishney bado manifestation tu!