John Nyigu
New Member
- Feb 18, 2020
- 2
- 0
Waliopo Kilimanjaro, moshi
Naomba nisaidie bei za kukodia mashamba na shamba nahitaji kulima vitunguu na nyanya.
Naomba nisaidie bei za kukodia mashamba na shamba nahitaji kulima vitunguu na nyanya.
Rudia swali mkuumwenye uelewa anisaidie nimewatika mbegu zimeota lakini zimeanza kunyauka tatizo ni nini?
pole sana mkuu, pambana upate mtaji kwanzaMimi natamani kulima lakini Sina mtaji!
Dah kuna jirani yangu kapanda kilo tatu za red creole, hazijaota , sijui ndio utapeli wenyeweNakushauri ukiipata fanya majaribio kwenye small scale maana hakuna utapeli kama ulioko kwenye mbegu hapa Tanzania
Huwa inatokea. Niliwahi kununua kilo 3 pia za red creole. ( Moja kwenye lipo, mbili zilikuwa kwenye packet)Dah kuna jirani yangu kapanda kilo tatu za red creole, hazijaota , sijui ndio utapeli wenyewe
1. Maji inaweza kuwa tatizo, kama juankali Sana mwaga maji kutwa mara mbili Kila siku.mwenye uelewa anisaidie nimewatika mbegu zimeota lakini zimeanza kunyauka tatizo ni nini?
Nimeweka kitalu cha vitunguu tar 9/06/2020, nafanya majaribio kama vitastawi vizuri mwakani Mungu akipenda niingie rasmi. Nitakuwa naomba ushauri kutoka kwako kadiri itakapobidi, Natanguliza shukrani.Mkuu unahitaji Nini sasa, bado hujafafanua. Mi Niko na project hii kwa sasa, ukiamua unaweza kikubwa kuwa makini hasa Mbegu inapokuwa kitaluni hasahasa inapoanza kuota kabla haijapata jani la pili mana hapo inaweza kufa ovyoovyo so usipokuwa makini utaipoteza. Ila baada ya kuanzia wiki mbili hadi tatu kitaluni Mbegu uanza kusurvive fresh. Vitu vya msingi ni kumwagilia na kupiga dawa ya ukungu na sumu kwa ajili ya wadudu waharibifu mara tu Mbegu itakapoota
Nipo Tanga, kando kidogo kutoka Tanga mjiniNimeweka kitalu cha vitunguu tar 9/06/2020, nafanya majaribio kama vitastawi vizuri mwakani Mungu akipenda niingie rasmi. Nitakuwa naomba ushauri kutoka kwako kadiri itakapobidi, Natanguliza shukrani.
Pamoja mkuu, your welcome!!Nimeweka kitalu cha vitunguu tar 9/06/2020, nafanya majaribio kama vitastawi vizuri mwakani Mungu akipenda niingie rasmi. Nitakuwa naomba ushauri kutoka kwako kadiri itakapobidi, Natanguliza shukrani.
Sehemu gani?Nipo Tanga, kando kidogo kutoka Tanga mjini
Nipo PongweSehemu gani?