Wataalam wa IT, naweza pata wapi cable ya phone to HDMI? laptop to HDMI?

Asante kwa majibu ya haraka. Ni samsung galaxy grand prime plus. Nategemea kupata Samsung nyingine ya toleo la mbele kidogo. Je itabidi nibadili tena hiyo cable au zinaingiliana?
Hii simu nayotumia sasa haina port ya hdmi. Ina ya kuchajia tu.

Hizo cable alizokuonesha Chief Mkwawa #9
ndio zenyewe zita fit kwenye simu ila picha hutaona kwenye TV. Kwa Samsung mpaka S6 hata hizi J1 J3 hazitoi picha.

Yaaani nilichomaanisha cable za HDMI unapochomeka upande mmoja device iwe imezimwa. Itafanya kazi hata kama hufuati huu utaratibu, ila huwa zinakata signal
 
Asante kwa majibu ya haraka. Ni samsung galaxy grand prime plus. Nategemea kupata Samsung nyingine ya toleo la mbele kidogo. Je itabidi nibadili tena hiyo cable au zinaingiliana?
Hii simu nayotumia sasa haina port ya hdmi. Ina ya kuchajia tu.
Mkuu hii simu haitakubali. Na simu nyingi mpya hazikubali.

Ushauri wangu sababu una laptop ina hdmi tumia tu hio laptop yako kuconect na tv.

Then eka app inaitwa plex kote kwenye simu na laptop kisha tumia hio app kuangalizia media zako za simu kwenye laptop bila kuhangaika na waya kwa njia hii pia uki conect laptop na tv utaweza ona vitu vya simu kwenye tv.

Njia za kisasa wanazotumia watu kuconect simu na tv ni hizi wifi based technologies kama Airplay,DLNA, Wifi Direct, Miracast etc sema zinahitaji TV iwe na wifi (smart tv) ama uinunulie TV Wifi ya nje au Tv box.
 
Shukrani wakuu wote kwa ushauri wenu. Cable zote tatu nimezipata ingawa ya phone to tv haifanyi kazi kutokana na simu yangu iko nyuma kidogo.
 
Back
Top Bottom