Wataalam wa biashara tusaidiane mawazo ya kilimo.

Chrispino Henry

Senior Member
Mar 29, 2017
107
66
Naam naam kwanza kabisa nawashukuru wote kwa mawazo yenu chanya nnayotarajia kutoka kwenu....I appreciate

Moja kwa moja nimekua nikipambana kwa namna ya kujikwamua kutoka kwenye hili wimbi la umaskini.
Nimejikusanya nimepata 2M.

Nawaza nitafute watu watatu wenye mtaji sawa na mimi ziwe 2*3=6M then tufanye kilimo kwa 5M na 1M tuiweke bank kama backup ila project nzima tutaiandaa kwa Bajet ya 5M... Kwa kifupi tutainvest 6M ila 5M ndio itakua budget ya project yetu.
Binafsi nimewaza kilimo sjui wengine mnaona kitu gani kingefaa zaid kwa huo mtaji wa 5M.
Kama ni biashara tufanye biashara gani?
Kama ni kilimo unashauri tulime nini?

Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwaza nasoma bachelor in marketing mwaka wa kwanza.
Nataka nione nguvu yenu ya ushauri wakubwa zangu.
Nipo dar es Salaam. Zingatia kila sentensi kipindi unanipa ushauri ni namaana kubwa zaidi ya hii kuweka huu utambulisho wa elimu na mahali nilipo.

Nataka mawazo chanya tuu. Please think positive
 
Hicho kilimo umepanga kukifanyia wap?
Na kilimo cha zao gan hasa na vipi kuhusu soko umeangalia?
Na kwanin usifanye mwenyw kwanza ukaanza na hcho chako ili iktokea shda yoyte iwe rahis ksolve.
 
Naam naam kwanza kabisa nawashukuru wote kwa mawazo yenu chanya nnayotarajia kutoka kwenu....I appreciate

Moja kwa moja nimekua nikipambana kwa namna ya kujikwamua kutoka kwenye hili wimbi la umaskini.
Nimejikusanya nimepata 2M.

Nawaza nitafute watu watatu wenye mtaji sawa na mimi ziwe 2*3=6M then tufanye kilimo kwa 5M na 1M tuiweke bank kama backup ila project nzima tutaiandaa kwa Bajet ya 5M... Kwa kifupi tutainvest 6M ila 5M ndio itakua budget ya project yetu.
Binafsi nimewaza kilimo sjui wengine mnaona kitu gani kingefaa zaid kwa huo mtaji wa 5M.
Kama ni biashara tufanye biashara gani?
Kama ni kilimo unashauri tulime nini?

Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwaza nasoma bachelor in marketing mwaka wa kwanza.
Nataka nione nguvu yenu ya ushauri wakubwa zangu.
Nipo dar es Salaam. Zingatia kila sentensi kipindi unanipa ushauri ni namaana kubwa zaidi ya hii kuweka huu utambulisho wa elimu na mahali nilipo.

Nataka mawazo chanya tuu. Please think positive
Kilimo cha kitunguu mwaka 21/22 watu wameupiga mwingi.
Kuna dada nilikutana nae aliuza gunia kwa 130000 mwezi dec 2021. Yani heka tatu tu mtu kaokota m20+. Mkuu ukiwa na bahati unaweza ingia tu na kutoboa ukiwa na mkosi unaua mpaka mtaji.
 
Kilimo cha kitunguu mwaka 21/22 watu wameupiga mwingi.
Kuna dada nilikutana nae aliuza gunia kwa 130000 mwezi dec 2021. Yani heka tatu tu mtu kaokota m20+. Mkuu ukiwa na bahati unaweza ingia tu na kutoboa ukiwa na mkosi unaua mpaka mtaji.

Aisee Mungu atie mikono kwenye kazi zetu. Hii alifanya mkoa gani boss?
 
Hicho kilimo umepanga kukifanyia wap?
Na kilimo cha zao gan hasa na vipi kuhusu soko umeangalia?
Na kwanin usifanye mwenyw kwanza ukaanza na hcho chako ili iktokea shda yoyte iwe rahis ksolve.

Ni wazo zuri ila nimeamini zaidi kwenye kufanya kazi kama team. Masoko ndio kitu cha msingi zaidi kwenye biashara kabla hata ya mtaji na hata investment yake ilipaswa iwe kubwa ila wengi tunawaza tukishakua na mitaji ndio tumemaliza. Binafsi hizi ni hatua za mwanzoni kabisa za wazo. Baada ya hapa ndio tutajua ni kilimo au ni biashara maana me nimetoa pendekezo ila nilikua nahitaji mawazo ya hao watakao kuja pia. Tukishajua nini nio tutanza kuandaa strategic plan za hicho tulichokikusudia.
 
Aisee Mungu atie mikono kwenye kazi zetu. Hii alifanya mkoa gani boss?
Igawa huko. Kwani nyie huko vitungu mwezi dec to march havikupanda bei?
Ni suala la bahati maana vitunguy vizingua karibu miaka mitatu mfululizo ila wamepiga pesa mwaka huu.
Kilimo ni kubeti.
Unaweza ingiza mkono ndio ntolee na unaweza ingiza mkono ikawa tabu.
Nilichojifunza ni kulima mfululizo ndani ya miaka 3 lazima utakutana na bei nzuri.Sio kulima kwa kubip, unapoacha wenzio ndio wanapiga hela na kuuga umasikini.
Kiujumla mtanzania yeyote anayo nafasi ya kuuga umasikini akiamua na kujipanga na kufanya kilimo sahihi.
 
Mwaka huu kuna uwezekano wakulima wakatoboa kwenye viazi na vitunguu kutokana na mbolea kupanda sana imepelekea baadhi ya wakulima wenye mitaji midogo kutolima au kupunguza kiwango cha kulima. Hali hii inaweza kupelekea mazao ya vitunguu viazi mviringo kupanda bei.
Msiseme sikuwaambia, fursa ndio hio msimu bado tafuteni chaka.
Tuta onana disemba tunapofunga hesabu.
 
Back
Top Bottom