nyahinga Member Dec 18, 2016 45 23 Nov 5, 2017 #1 Nauliza utofauti wa wataalam wafuatao: Nutritionists Dietitians Herbalists Je kwa hapa Tanzania, hawa wataalam wanatoka wapi!? Je jamii na serikali inanufaika na wataalam wapi kati ya hao watatu. Je, vipi kuhusu ajira za wataalam hao?
Nauliza utofauti wa wataalam wafuatao: Nutritionists Dietitians Herbalists Je kwa hapa Tanzania, hawa wataalam wanatoka wapi!? Je jamii na serikali inanufaika na wataalam wapi kati ya hao watatu. Je, vipi kuhusu ajira za wataalam hao?
dumejm JF-Expert Member Feb 18, 2016 1,174 841 Nov 19, 2017 #2 Naona watu hawakuelewi kabisa mkuu....