Kwani mgonjwa alienda hospitali akiwa anaumwa nini na nini?Hiki kipimo ni cha 2017 full blood picture
View attachment 1293153
Na hiki cha chini ni cha 2019 View attachment 1293159
Sasa naomba wataalam wa kufanya analysis ya vipimo hivi vya damu watoe ushauri kipi kiko kwenye hatar na nini kifanyike pale penye mapungufu
Nawasilisha.
Kama hujui ni vema ukapita kimya kimya si lazima ujibu mkuu waache wataalam wenye wanajua wakitizama vipimo hapo watasema chochote .Kwani mgonjwa alienda hospitali akiwa anaumwa nini na nini?
Daktari hatibu majibu ya full blood picture, anamtibu mgonjwa
Najua vizuri tu ndio maana nikauliza hilo swali.Kama hujui ni vema ukapita kimya kimya si lazima ujibu mkuu waache wataalam wenye wanajua wakitizama vipimo hapo watasema chochote .
Kwan kupitia majibu ya hivyo vipimo huwezi kupata tatizo la mgonjwa ? Coz hicho ni kipimo alicho ambiwa akapime na baada ya kujieleza na Dr. Akamwambia majibu ktk vipimo hivyo yuko sawa hakuna shida so kupata na majibu mbadala pia sio vibaya maana ma Dr wa sikuhizi bana anakuhudumia huku kaweka headphones masikion na simu yupo facebookNajua vizuri tu ndio maana nikauliza hilo swali.
Usifanye assumptions.
Kila kipimo kina sababu yake kufanyika depending on signs and symptoms alizo nazo mgonjwa na kama daktari lengo ni ku-correlate clinical presentation na majibu ya vipimo ili kufikia diagnosis na kutoa matibabu sahihi
Ndio maana nikasema hatutibu majibu, tunatibu mgonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan kupitia majibu ya hivyo vipimo huwezi kupata tatizo la mgonjwa ? Coz hicho ni kipimo alicho ambiwa akapime na baada ya kujieleza na Dr. Akamwambia majibu ktk vipimo hivyo yuko sawa hakuna shida so kupata na majibu mbadala pia sio vibaya maana ma Dr wa sikuhizi bana anakuhudumia huku kaweka headphones masikion na simu yupo facebook
Kwan kupitia majibu ya hivyo vipimo huwezi kupata tatizo la mgonjwa ? Coz hicho ni kipimo alicho ambiwa akapime na baada ya kujieleza na Dr. Akamwambia majibu ktk vipimo hivyo yuko sawa hakuna shida so kupata na majibu mbadala pia sio vibaya maana ma Dr wa sikuhizi bana anakuhudumia huku kaweka headphones masikion na simu yupo facebook
Nimekuelewa shida kubwa ni maumivu ya mgongo eneo la katikati hadi juu kwenye shingo some times kama vinachoma choma na eneo la kifuani na mabegaNdugu yangu nimekuelezea vizuri daktari hatibu majibu ya kipimo anamtibu mgonjwa.
Hivyo ndivyo nilivyofundishwa.
Unaposikiliza mgonjwa history yake na kumfanyia examination ndipo unapata 75% ya tatizo linalomsumbua then unampeleka kufanya kipimo, ikiwa kuna kitu fulani unakitafuta kithibitishe tatizo ambalo unahisi mgonjwa analo.
Order of events ipo hivyo na sio reverse.
Na nikuambie tu Full Blood Picture ni kipimo basic sana. Almost routine, unless kuna kitu specific unakitafuta/unamonitor
Kwenye FBP ya kwanza mgonjwa ana leukopenia, with predominant lymphocyte proportion, moderate anemia, na Thrombocytosis.
Kwenye FBP ya pili vime-normalize
Hainisaidii mimi haikusaidii wewe kama hamna taarifa za ziada kuweza kuunganisha anachoumwa mgonjwa na majibu hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muwe na staha kidogo. Umekuja hapa unahitaji msaaada wa kitaalamu, na kama unavyoona nimekuja peke yangu kukusaidia, unanijibu unavyoona wewe. Kujimwambafy bila sababu.Nimekuelewa shida kubwa ni maumivu ya mgongo eneo la katikati hadi juu kwenye shingo some times kama vinachoma choma na eneo la kifuani na mabega
walipiga exray hawakuona kitu bt tatizo hilo relief yake ni kuoga maji yamoto kiasi yaliyo zid kidogo kwenye uvuguvugu yaani kama maunivu yakiwa makali ndio maji hayo hupunguza, ndio shida hiyo iliyopo iliyo pelekea kupata kipimo hicho kwa mara ya pili tena
Lakin pia kingine ilikuwa kutizama maendeleo kwani mwanzo WBC ilikuwa chini sana lakin kipimo cha pili ikapanda na sasa lengo ni kuipandisha zaid ya hapo hivyo ushauri wa nini kifanyike umri ni miaka 38 seems upo vizuri kwenye maswala hayo sorry kama nilikukwaza mwanzo.
Shukran sana na kuna kitu kikubwa nimejifunza leo kupitia mtiririko wa uzi huuMuwe na staha kidogo. Umekuja hapa unahitaji msaaada wa kitaalamu, na kama unavyoona nimekuja peke yangu kukusaidia, unanijibu unavyoona wewe. Kujimwambafy bila sababu.
Anyways. Hicho kipimo cha X-ray hakitoshi kujua tatizo la mgongo ni lipi. Huwa tunaanza na hicho kwa sababu ni affordable, lakini sensitivity yake ni ndogo na huweza kumiss tatizo.
Hivyo itafaa afanye MRI. At least muweze kuona uti wa mgongo, pingili za mgongo, kama kuna pathology yoyote hususani kwenye uti wa mgongo.
Kipimo cha full blood picture kilikuwa na abnormalities hapo mwanzoni.
Lakini sio kipimo specific. Kinaonyesha chembe chembe mbali mbali za damu, idadi yake na kiwango cha Hemoglobin.
Abnormalities zilizoonekana zinaweza kuwa na uhusiano na shida ya mgongo ikiwa kuna inflammation inaendelea kwenye uti wa mgongo (myelitis) or else where.
Walau kipimo cha ESR kingetupa picha.
Lakini aliyofanya mara ya pili iko kawaida kwa hiyo may be sio issue kubwa.
Issue kubwa afanye kipimo cha mgongo preferably MRI kuweza kujua chanzo.
Chembe chembe zake ziko normal sijaelewa kwa nini mnataka kupandisha chembe nyeupe wakati zipo vizuri.
Chembechembe nyeupe hupanda naturally mwili ukiwa na maambukizi yoyote, kansa ya damu, kuumia n.k.
Shughulika na huo mgongo na MRI kama mtaweza kupata
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo Daktari anatibu mgonjwa bila Vipimo?Ndugu yangu nimekuelezea vizuri daktari hatibu majibu ya kipimo anamtibu mgonjwa.
Hivyo ndivyo nilivyofundishwa.
Unaposikiliza mgonjwa history yake na kumfanyia examination ndipo unapata 75% ya tatizo linalomsumbua then unampeleka kufanya kipimo, ikiwa kuna kitu fulani unakitafuta kithibitishe tatizo ambalo unahisi mgonjwa analo.
Order of events ipo hivyo na sio reverse.
Na nikuambie tu Full Blood Picture ni kipimo basic sana. Almost routine, unless kuna kitu specific unakitafuta/unamonitor
Kwenye FBP ya kwanza mgonjwa ana leukopenia, with predominant lymphocyte proportion, moderate anemia, na Thrombocytosis.
Kwenye FBP ya pili vime-normalize
Hainisaidii mimi haikusaidii wewe kama hamna taarifa za ziada kuweza kuunganisha anachoumwa mgonjwa na majibu hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nawe maelezo yote haya hujaelewa tu?Kwaiyo Daktari anatibu mgonjwa bila Vipimo?