Wataalam nisaidieni: Umeme wa three phase vs umeme wa single phase

Kama huna kifaa kinachotumia umene wa njia tatu, then huna haja ya umeme wa njia tatu katika nyumba ya kawaida.
Three phase ni umeme wa 'viwandani'.
 
Hapo nimekupata Mkuu kwahiyo hapa 2 or 3 phase inategemea na matumizi yake tu.
Ndio mkuu ila nikrekebishe tu kuwa umeme wa matumizi ya kawaida una single phase na three phase mkuu, hakuna three phase. Unaweza kuitambua three phase kwa kuwa inatumia nyaya tatu zinazopitisha umeme na neutral wire mmoja hivyo huonekana nyaya nne au tatu peke yake.
 
Hapo nimekupata Mkuu kwahiyo hapa 2 or 3 phase inategemea na matumizi yake tu.
Ndio mkuu ila nikrekebishe tu kuwa umeme wa matumizi ya kawaida una single phase na three phase mkuu, hakuna three phase. Unaweza kuitambua three phase kwa kuwa inatumia nyaya tatu zinazopitisha umeme na neutral wire mmoja hivyo huonekana nyaya nne au tatu peke yake.
 
Mtoa mada, huwa ipo hivi.
Kuna kitu kinaitwa Current ambapo unit yake ni Ampere. Na kuna kitu kinaitwa Power ambapo unit yake ni watts.

Sasa, Kwa hapa Tanzania kama load yako( kwa kiswahili kisicho rasmi sana ni kama tuseme uwezo wa vifaa vyako vyote vya kutumia umeme) haitazidi Ampere 60, (13,200 watts)wewe utabakia kuwa ni mteja wa single phase. Lea lugha nyi

Ikiwa load yako itazidi Amperes 60 Basi hapo moja kwa moja utakuwa ni mteja wa three phase. Kwa lugha nyingine ni idadi ya watts katika vifaa vyako vyote kama itazidi watts 13,200 wewe utakuwa ni mteja wa three phase.

Sasa hizo watts unazipataje? Katika kila kifaa cha umeme kina ratings zake. Lea mfano kwenye bulb utakuwa imeandikwa labda 9 W maana yake ni watts 9.

Sasa chukulia labda una pasi, feni, radio, TV, friji, birika la umeme, n.k kila kimoja hapo utajumlisha ili upate total load yako ujue ni kiasi gani.

Kwa summary tu, kama idadi ya watts kwa vifaa vyako vyote haitazidi watts 13,200 wewe utabakia kuwa ni mteja wa single phase.

Idadi ya watts kwa vifaa vyako vyote ikizidi watts 13200 wewe ni mteja wa three phase.

Nawasilisha.
Kwanini single phase ina 220v wakati 3phase ina 380v uwa inanichanganya hii mkuu
 
Ukiwa na AC kuanzia mbili nashauri weka 3 phase
Yaani ukiweka Air Condition Mbili kwenye nyumba uwe na three phase; Tuache basi kupotoshana
Si miji yenye Joto kama Dar zingejaa three phase; Sijui kama unajua gharama ya kufungiwa three phase?

Mimi najua maofisi meeeengi yenye AC zaidi ya 5 na yanatumia single phase bila shida yoyote.

Kama mtu hajui kitu hasa cha kitaalam sio lazima kuchangia
 
Endapo utafunga single phase kwenye mashine inayohitaji three phase basi mashine hiyo haitaweza kuwaka au kufanya kazi. Au kama utafunga kwenye nyumba ambayo inahitaji three phase baadhi ya vifaa havitaweza kufanya kazi, kwa mfano nyumba za ghorofa na baadhi ya nyumba zinahitaji umeme wa three phase kutokana na kuwa na vifaa nilivyovitaja hapo awali.
Hapo hujalitendea haki swali bado.labda nikuulize swali rahisi...ukiwa na single phase inamaana haiwezi kuwasha ac...au washing machine?
 
Kwa kifupi ni matumizi mabaya ya transmission line, na nadhani inategema zaidi na transfromer inayokueleta umeme. mmatumzi yote ya nyumbani na single phase, hakuna 3 phase hata siku moja. Ila sasa kama transfromer inayolea umeme nyumbani kwako haina power ya kutosha lakini wewe unahitaji power zaidi basi ndipo watakuletea 3-phase, lakini watazigawanya namna ya kuzitumia, huwezi kuzitumia zote tatu kwa mpigo kama ilivyo viwandani bali kuna vitu nyumbani kwano vitatumia phase moja, vingine phase ya pili na vingine phase ya tatu. Iwapo tanesco wangekuwa wana
Toka zamani tumekuwa tukiona umeme wa majumbani ukifungwa single phase na viwandani ukifungwa wa three phase. Lakini siku hizi hata majumbani watu wanafunga umeme wa three phase tofauti na zamani.

Naomba kufahamu tofauti ya matumizi ya huu nyumbani, na umeme wa three phase unaongeza nini katika nyumba ambacho single phase haina?!

Kwa kifupi ni matumizi mabaya ya transmission line, na nadhani inategemea zaidi na transformer inayokueletea umeme huo. Matumzi yote ya nyumbani na single phase, hakuna 3 phase hata siku moja kwenye nyumba residential. Ila sasa kama transformer inayoleta umeme nyumbani kwako haina power ya kutosha lakini wewe unahitaji power zaidi basi ndipo watakuletea 3-phase, lakini watazigawanya namna ya kuzitumia, huwezi kuzitumia zote tatu kwa mpigo kama ilivyo viwandani bali kuna vitu nyumbani kwano vitatumia phase moja, vingine phase ya pili na vingine phase ya tatu. Iwapo tanesco wangekuwa wanakuwa na transfromer zenye kuhimili power kubwa kwa phase, usingehitaji phase hizo tatu.
 
Back
Top Bottom