Wataalam naomba msaada wa hii forester Subaru

devijoy

JF-Expert Member
Oct 25, 2018
1,025
1,350
Msaada , kuanzia ulaji wake wa mafuta, durability na spea
IMG-20190716-WA0032.jpeg
 
Mkuu asikudanganye mtu kuwa eti Subaru inakula mafuta huyo ni muongo Tu,juzi jumapili tumeenda Tegeta mivumoni na Subaru ya rafiki Yangu tokea Chamazi tuliweka mafuta ya 30000/= tulienda na kurudi vizur.

Mara nyingi natoka Chamazi Hadi mivumoni na CARINA TI huwa naweka mafuta ya 30000 kama ilivyo Subaru Tu,hata Mimi mwenyewe nashawishika Sana kununua hii gari kuliko crown athlete (gari ambayo nilikuwa na malengo ya kuinunua) nimeendesha Subaru Kwa umbali mfupi lakini nimeona MBIO zake aisee ni hatar.

Kuhusu durability usiulize Kwenye Subaru ni gari ya uhakika hasa matoleo ya kuanzia 2002 - 2007 pia nakushauri tafuta matoleo haya ya zamani najua utakuja kushukuru hapa jukwaani
 
Mkuu asikudanganye mtu kuwa eti Subaru inakula mafuta huyo ni muongo Tu,juzi jumapili tumeenda Tegeta mivumoni na Subaru ya rafiki Yangu tokea Chamazi tuliweka mafuta ya 30000/= tulienda na kurudi vizur.

Mara nyingi natoka Chamazi Hadi mivumoni na CARINA TI huwa naweka mafuta ya 30000 kama ilivyo Subaru Tu,hata Mimi mwenyewe nashawishika Sana kununua hii gari kuliko crown athlete (gari ambayo nilikuwa na malengo ya kuinunua) nimeendesha Subaru Kwa umbali mfupi lakini nimeona MBIO zake aisee ni hatar.

Kuhusu durability usiulize Kwenye Subaru ni gari ya uhakika hasa matoleo ya kuanzia 2002 - 2007 pia nakushauri tafuta matoleo haya ya zamani najua utakuja kushukuru hapa jukwaani
Yaani hapa huwa nashangaa sana. Teknolojia inaendelea wewe unamrudisha mtu miaka zaidi ya 15. Kama unajiweza nunua gari ambayo ni ya hivi karibuni
 
Yaani hapa huwa nashangaa sana. Teknolojia inaendelea wewe unamrudisha mtu miaka zaidi ya 15. Kama unajiweza nunua gari ambayo ni ya hivi karibuni
Sasa ndugu unashangaa nini?
Haya Magari unayoyaona barabaran 90% ni ya mwaka 2000 - 2010 Sisi huku Africa bado tupo nyuma Sana kiuchumi pia kumbuka haya Magari ni used huko Japan sio mapya
 
Sasa ndugu unashangaa nini?
Haya Magari unayoyaona barabaran 90% ni ya mwaka 2000 - 2010 Sisi huku Africa bado tupo nyuma Sana kiuchumi pia kumbuka haya Magari ni used huko Japan sio mapya
Mwambie tupo dunia ya 3 kwaiyo magar tunayotumia, huko dunia ya 1 n 2 yamepitwa muda kama wa miaka 7 na zaidi ,na kata ya watu 10 ni mmoja ndio anaweza nunua gar latest kwenye karatasi, mengine yote niyamiaka kuanzia 2002s
 
Kati ya watu 100 anayeweza kununua gari mpya kwny karatasi' labda ni mmoja wakizidi sana wawili tu: mfano:toyota corrola 2019 tena base model tu inauzwa $19400 sawa na almost Tsh.45mil, kodi tra ni tsh 24.5 so plus other charges utalipa kama Tsh.72mil.

Wangapi wataweza kutoa hio hela kwa ajili ya corolla tu,wkt kwa pesa hio unavuta used zetu zile kama VX V8(100 series)/disco 3/X5/Escalede/hummer 3/porsch cayenne safi kabisaa na chenchi inabaki ya kutosha tu unanua na used ka bmw 3/5 ka kuzugia kitaa na bado hela ya kutombea inabaki.

Mwambie tupo dunia ya 3 kwaiyo magar tunayotumia, huko dunia ya 1 n 2 yamepitwa muda kama wa miaka 7 na zaidi ,na kata ya watu 10 ni mmoja ndio anaweza nunua gar latest kwenye karatasi, mengine yote niyamiaka kuanzia 2002s
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom