Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Dawa hiyo ilishakamilika na itatumika kama mbadala wa chanjo za mabeberu ambazo tayari serekali imeshazipiga marufuku😄😄😄
Wajinga! Eti na huyu ni MD, sitaki kuwasema vibaya mama zetu maana si wote.Dawa hiyo ilishakamilika na itatumika kama mbadala wa chanjo za mabeberu ambazo tayari serekali imeshazipiga marufuku😄😄😄
View attachment 1693121View attachment 1693122
Dawa hiyo ilishakamilika na itatumika kama mbadala wa chanjo za mabeberu ambazo tayari serekali imeshazipiga marufuku
View attachment 1693121View attachment 1693122
View attachment 1693130
View attachment 1693131
CCM, CHAMA CHA MAZEZETADawa hiyo ilishakamilika na itatumika kama mbadala wa chanjo za mabeberu ambazo tayari serekali imeshazipiga marufuku😄😄😄
View attachment 1693121View attachment 1693122
View attachment 1693130
View attachment 1693131
Tanzania ya mazingaombwe hahahaDawa hiyo ilishakamilika na itatumika kama mbadala wa chanjo za mabeberu ambazo tayari serekali imeshazipiga marufuku😄😄😄
View attachment 1693121View attachment 1693122
View attachment 1693130
View attachment 1693131
naogopa wasije kupata mchafuko wa tumboNchi haishiwi vituko hii.. anyway mitano tena
Wapi nimekataa kuwa mimea isitumike kutengeneza dawa?Ukishindwa kuelewa lengo la mleta uzi ni lipi usimsingizie vitu ambavyo siyo sahihi na ambavyo hajakusudia!MTOA mada pamoja na lugha yake sanifu ameshindwa kuelewa ya kuwa 80% ya dawa tuzionazo zimetokana na mimea na lengo la dunia yetu ikibidi dawa zote ulimwenguni zitumie mimea pekee kutokana na NATURE yetu binadamu
Hofu inayooneshwa kuhusu mtu mmoja ni kubwa sana. Taaluma zimewekwa pembeni ili tonge lisiwaponyokeWajinga! Eti na huyu ni MD, sitaki kuwasema vibaya mama zetu maana si wote.
Futuhi,vibonzo pamoja na viroja unaita ni jitihada?Hizo ndizo jitihada sahihi za maprofesa wetu?Jitihada za maprofesa zinapaswa kufikia kiwango hicho?Jitihada aishindi kudra,angalau wamefanya wasingefanya chochote pia lawama zingekuwepo tu.
Walimwengu hawanaga jema.
🤣🤣🤣naogopa wasije kupata mchafuko wa tumbo
huoni kama kichwa cha habari kina kejeli ya aina fulani?Wapi nimekataa kuwa mimea isitumike kutengeneza dawa?Ukishindwa kuelewa lengo la mleta uzi ni lipi usimsingizie vitu ambavyo siyo sahihi na ambavyo hajakus
MTOA mada pamoja na lugha yake sanifu ameshindwa kuelewa ya kuwa 80% ya dawa tuzionazo zimetokana na mimea na wadudu lengo la dunia yetu ikibidi dawa zote ulimwenguni zitumie mimea pekee kutokana na NATURE yetu binadamu
MFANO PARACHICHI NI ANTI BACTERIA NZURI SANA NDANI YA MWILI WA BINADAMU
MAYAI YA SISIMIZI YAKIKAMULIWA VIZURI NI DAWA FIRST CLASS YA MACHO i have a lots of basic formula
Wapi kichwa cha habari kimekejeli kuwa dawa zinazotokana na mimea hazifai?Kwa kifupi hujaelewa dhumuni/lengo la uzi wangu!Kuna mdau kama wewe nimemjibu hapo juu anaitwa NAWATAFUNA, ukisoma jibu nililompa unaweza kupata picha kuwa lengo la uzi wangu ni lipi.huoni kama kichwa cha habari kina kejeli ya aina fulani?