Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
kagame haiwezi kusustain hiyo order...kama ambyo uswis hawawezi kusastain huo ushindi..lazima watu wajenge according to their belief ..iwe leo au kesho...Wao wanataka minara iamshe nchi nzima! Kwani kule Rwanda kwa Kagame mbona ni marufuku kupiga kelele kama hizi na kuko shwari tu?Hakuna cha kengele za kanisani wala vipaaza sauti.