Waswisi wakataa ujenzi wa minara ya misikiti

Why dictate waumini for other means?

You still have not answered my question. Does the Kuran require mirates as part of the prayers? I don't see what the commotion is about if it's only over building requirements. You are advocating for freedom of worship & that's why I'm asking does the Kuran require minarets as part of worship? yes or no?
 
unafahamu kazi za minara misikitini?

Tatizo ni kwamba uislamu unataka kuwaforce watu wa culture nyingine wabadilishe maisha yao yaendane na uislamu, wakiwa majumbani kwao.

Waswizi washashtukia, leo mkilazimisha minarets, kesho mtalazimisha adhana.
 
Ebana eeeh....kwani hao waislamu hawana kwao walikotoka? Kama Waswisi hawataki hiyo minara rudini kwenu. End of story.
 
Ebana eeeh....kwani hao waislamu hawana kwao walikotoka? Kama Waswisi hawataki hiyo minara rudini kwenu. End of story.

The strange thing is they always complain about being mistreated but they keep immigrating in the thousands. Moroccans die almost every day trying to cross over to Spain but that never stops them from going.
 
The strange thing is they always complain about being mistreated but they keep immigrating in the thousands. Moroccans die almost every day trying to cross over to Spain but that never stops them from going.

Ndo hapo sasa hata mimi nashindwa kuelewa. Mtu unalowea kwa watu halafu unataka kulazimisha mila na imani zako halafu ukikataliwa unalialia. WTF? Go back to where you came from then......
 
Ebana eeeh....kwani hao waislamu hawana kwao walikotoka? Kama Waswisi hawataki hiyo minara rudini kwenu. End of story.
Warudi wapi wakati kuna waswis wazungu (whites) wazaliwa wa uswis hao nao waende wapi?..tatizo lako unafikiri waislamu ni waarabu na waindonesia tu..uko nyuma ya wakati.
 
Wabane basi wasaud, mbona naona unawashikia bango wa swiss tu?

Msikiti si lazima minara, kuna watu wanasali kwenye ma garage.

Serikali ya mji wa Chicago ilipitisha sheria kukataza ma dish nje ya nyumba kwa kuwa yalikuwa unsightly, kwa hiyo waacheni waswiss waamue swiss iweje.

Kwangu hata wakiamua kupiga marufuku misikiti na makanisa poa tu, kama unapenda sana misikiti na makanisa utatafuta yalipo.


Kule Canada na USA, uwezi sikia swalaa, swalaa!! na kelele nyingi toka msikitini. Nchi hizo zimejiwekea sheria zao ukipiga kelele swalaa swalaa ni pingu tu na kifungo kwa kuharibu mazingira ya sehemu hiyo unayopigia kelele. Ndo maana waislam wa uko USA, utakuta siku ya ijumaa anavaa kofia na kupita mtaani kimya kimya, akiwa msikitini sauti yake uwezi kuisikia kwa nje. ni kusali kimya kimya tu.
 
The strange thing is they always complain about being mistreated but they keep immigrating in the thousands. Moroccans die almost every day trying to cross over to Spain but that never stops them from going.
Immigration is done by everyone...of course it is a right for everyone..dunia yote belong to one creator..so wala usione ajabu...

wengine tuko nchi za watu siyo kwasababu ya shida, au nini..bali ni necessity for life and for our countries and we happen to be muslim we have all rights to practice our religion the way deems to be fit...

wewe acha ubaguzi wako..just grow up acha chuki za kipuuzi..sitegemee maneno kama haya kutoka kwa mtu ambaye naanza kuamini ni intellectual au ndio wale wale kina maxi..lol
 
Tatizo ni kwamba uislamu unataka kuwaforce watu wa culture nyingine wabadilishe maisha yao yaendane na uislamu, wakiwa majumbani kwao.

Waswizi washashtukia, leo mkilazimisha minarets, kesho mtalazimisha adhana.
walichofanya ni good news for muslims arround the world..wamejipakalia mkaa with time sasa watatoa kila kitu..just wait and see...
 
Kule Canada na USA, uwezi sikia swalaa, swalaa!! na kelele nyingi toka msikitini. Nchi hizo zimejiwekea sheria zao ukipiga kelele swalaa swalaa ni pingu tu na kifungo kwa kuharibu mazingira ya sehemu hiyo unayopigia kelele. Ndo maana waislam wa uko USA, utakuta siku ya ijumaa anavaa kofia na kupita mtaani kimya kimya, akiwa msikitini sauti yake uwezi kuisikia kwa nje. ni kusali kimya kimya tu.
Poleni sana waislamu wa huko...but never give up...duh watu hawataki kusikia maneno matamu ya mwenyezi mungu...wameishiwa kwelikweli.
 
Warudi wapi wakati kuna waswis wazungu (whites) wazaliwa wa uswis hao nao waende wapi?..tatizo lako unafikiri waislamu ni waarabu na waindonesia tu..uko nyuma ya wakati.

Wako wangapi hao wazungu wasilamu wazaliwa wa Uswisi? Lete takwimu....
 
Immigration is done by everyone...of course it is a right for everyone..dunia yote belong to one creator..so wala usione ajabu...

wengine tuko nchi za watu siyo kwasababu ya shida, au nini..bali ni necessity for life and for our countries and we happen to be muslim we have all rights to practice our religion the way deems to be fit...

wewe acha ubaguzi wako..just grow up acha chuki za kipuuzi..sitegemee maneno kama haya kutoka kwa mtu ambaye naanza kuamini ni intellectual au ndio wale wale kina maxi..lol

Yes immigration is done by every one but why is it always Muslims immigrants complaining? Why don't they want to compromise with the cultures they meet their? Why should every one adjust to them but they do not want to adjust to others?

How can you say you live in other people's countries not because of "shida" but at the same time say because of "Necessity"? Acha kujicontradict. You have the right to practice your religion but you have not answered the question. Are minarets part of prayer according to the Kuran? Mbona hautaki kujibu?

Lol I could care less what you think of me or what you expect of me. No matter what you think it doesn't change the fact of who I am lol. You not thinking I'm not intellectual does not make me a non inttelectual.
 
Yes immigration is done by every one but why is it always Muslims immigrants complaining? Why don't they want to compromise with the cultures they meet their? Why should every one adjust to them but they do not want to adjust to others?

How can you say you live in other people's countries not because of "shida" but at the same time say because of "Necessity"? Acha kujicontradict. You have the right to practice your religion but you have not answered the question. Are minarets part of prayer according to the Kuran? Mbona hautaki kujibu?

Lol I could care less what you think of me or what you expect of me. No matter what you think it doesn't change the fact of who I am lol. You not thinking I'm not intellectual does not make me a non inttelectual.
Is necessity a shida?
 
Wako wangapi hao wazungu wasilamu wazaliwa wa Uswisi? Lete takwimu....
Takwimu nenda ofisi ya waislamu hapo uswis...attend ijumaa kama uko karibu na masjid utaona vijana wa ki-swiss waenda wapi?
 
Tanzania Sh*nzi kabisa. Mie nina tatizo la kutolala mapema. Sasa nikilala saa 7 usiku nikitegemea kuamka saa 1 asubuhi, naamsshwa na salaaaa ya saa 10:30 alfajiri. Matokeo yake siku nzima nasinzia kazini. Ilibidi nihamie karibu na kanisa maana walau wao wanakorombeza kengele lao saa 12 asubuhi.

Hivi kwa nini nisipumzike kwangu? Sasa inaishia tu kuanza kusumbuana na mama Nyanso maana hatuna cha kufanya hiyo asubihi tukiamshwa. Ilibidi tufunge uzazi maana vitoto vingelifuatana kama mchwa na kuvilisha ingelibidi kuanzisha NGO.

Hakuna UHUNI na UJANGIRI wa kidini kama ule unafanyika pale Magomeni kati ya msikiti na kanisa la Warutheli. Wachaga na Wapare Mungu bariki wako swafi kipesa. Wakaanza mashindano na Waislaam. Waislaam wakaweka maspika yao kama kawaida na walipoombwa wapunguze sauti wakajibu "you can kiss our ..........." Wachaga/Wapare wakaona haina shida, wakaagiza jamaa zao hiyo mispika hadi mtu unafikiri ni ile zama pale Dodoma wakati akitesa Kagunila Radio Service. Waislaam kuona wamezidiwa kibao, wakalia kwa Waarabu wao, Waarabu nao wakashisha mzigo umeshehena. Sasa ukiwauliza makelele yote hayo mwamhubiria nani? Wanakujibu "Aliyeko barabarani". Ila sema hiyo STEREO unayopata kama upo barabarani siku ya jumapili, inatia kinyaa.

Inabidi hata Tanzania ije sheria ya kupunguza makelele wakati wa usiku hadi saa 12 asubuhi. Waislaam wote wanaotaka kuamshwa, si wakubaliane na mitandao ya simu kama TIGO, Voda, etc na ikibidi waanzishe mtandao wao wa simu na members wote wapigiwe simu wakati wa asubuhi ili waende kusali. Bakwata watapata hela ya simu, Waislaam wataamshana bila kuwasumbua wala kiti moto kwa Safari/Kilimanjaro na at the end of the day, all of us will be happy.

Ahhh, mwisho inabidi ianze sheria ya kupima kiasi cha makelele. DB zikizidi basi unalipa faini kwa kuleta usumbufu iwe mchana au usiku. Usiku kuanzia saa 5 hizi dB zinazidi kupungua.
 
Yes immigration is done by every one but why is it always Muslims immigrants complaining? Why don't they want to compromise with the cultures they meet their? Why should every one adjust to them but they do not want to adjust to others?

How can you say you live in other people's countries not because of "shida" but at the same time say because of "Necessity"? Acha kujicontradict. You have the right to practice your religion but you have not answered the question. Are minarets part of prayer according to the Kuran? Mbona hautaki kujibu?

Lol I could care less what you think of me or what you expect of me. No matter what you think it doesn't change the fact of who I am lol. You not thinking I'm not intellectual does not make me a non inttelectual.

Tatizo lipo deep within Islamic thinking, deep katika falsafa ya kuwabadilisha dini watu wote wa dunia ambao watakuja in contact na waislam.By any means, hata kwa ncha ya upanga.
 
Is necessity a shida?

I thought you were smarter than this. Necessity is

a)The condition or quality of being necessary.

b)Something necessary: The necessities of life include food, clothing, and shelter.

If something is necessary it means you have to do it. If you moved to another place because of necessity it means you thought of that place to be necessary to get what you want. Necessary in swahili is 'Kulazimu". Ime kulazimu kufanya kitu. If you could get your necessity elsewhere why did you go there? Mkuu English as a 2nd language is hard huh?
 
I thought you were smarter than this. Necessity is

a)The condition or quality of being necessary.

b)Something necessary: The necessities of life include food, clothing, and shelter.

If something is necessary it means you have to do it. If you moved to another place because of necessity it means you thought of that place to be necessary to get what you want. Necessary in swahili is 'Kulazimu". Ime kulazimu kufanya kitu. If you could get your necessity elsewhere why did you go there? Mkuu English as a 2nd language is hard huh?[/QUOTE]
Asante..it was not vocabulary for me anyway ha ha ha

Kwa hiyo nikiwa uswis..kwasababu nafanya kazi ya serikali tukufu ya Tanzania is that necessity or shida? kwahiyo I have all right to be here and I have to have equal right to associate and practice my religion as if niko magomeni. kwasababu I am not illegal immigrant, I am here for not necessity of both countries.
 
Immigration is done by everyone...of course it is a right for everyone..dunia yote belong to one creator..so wala usione ajabu...

wengine tuko nchi za watu siyo kwasababu ya shida, au nini..bali ni necessity for life and for our countries and we happen to be muslim we have all rights to practice our religion the way deems to be fit...

wewe acha ubaguzi wako..just grow up acha chuki za kipuuzi..sitegemee maneno kama haya kutoka kwa mtu ambaye naanza kuamini ni intellectual au ndio wale wale kina maxi..lol

Haya maneno kawaambie ndugu zako wa Saudi Arabia waawaruhusu watu wa dini nyingine kuabudu dini zao kadri wanavyopenda sio kuwatishia na Al Mutaween kila siku. Huu unafiki utaisha lini? Kama mnaona mnaonewa panda ndege/boti/mtumbwi nenda ambako hutoonewa ebo!!!

**Waislamu ni 5% ya population ya Uswisi.
 
Haya maneno kawaambie ndugu zako wa Saudi Arabia waawaruhusu watu wa dini nyingine kuabudu dini zao kadri wanavyopenda sio kuwatishia na Al Mutaween kila siku. Huu unafiki utaisha lini? Kama mnaona mnaonewa panda ndege/boti/mtumbwi nenda ambako hutoonewa ebo!!!
Bahati mbaya tutabanana hapahapa...mpaka kieleweke..never give up
 
Back
Top Bottom