Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba mnisaidie maana za maneno haya:
1. Wamsha kinehe
2. Duhu
3. Sanzi
Ikibidi mniongezee mengine kwani nataka kuoa kwenu.[/QUOTE
Kuuliza siyo ujinga, kwanini unataka kuoa Usukumani, na kwanini ujifunze kwa namna hii.
mmmmhhhhhhhhh!
Naomba mnisaidie maana za maneno haya:
1. Wamsha kinehe
2. Duhu
3. Sanzi
Ikibidi mniongezee mengine kwani nataka kuoa kwenu.[/QUOTE
Kuuliza siyo ujinga, kwanini unataka kuoa Usukumani, na kwanini ujifunze kwa namna hii.
Hujakosej kuuliza,nataka kuoa usukumani kwa kuwa mchumba wangu ni msukuma.
Nimeuliza kwa namna hii kwani nimekuwa nikisikia shemeji zangu wakiyataja sana.
Naomba kuuliza tena, mchumba wako anatokea sehemu ipi- maana kabila hili lipo katika mikoa kadhaa na matumizi ya lugha yanaweza kutofautia kidogo, inawaezeka kisukuma cha shemeji zako kikawa ni tofauti na cha mchumba wako,na ukaishia kudhaniwa vinginevyo .Hujakosej kuuliza,nataka kuoa usukumani kwa kuwa mchumba wangu ni msukuma.
Nimeuliza kwa namna hii kwani nimekuwa nikisikia shemeji zangu wakiyataja sana.
Mkuu asisahau kuposti haya kwenye jukwaa la MahusianoNaomba mnisaidie maana za maneno haya:
1. Wamsha kinehe
2. Duhu
3. Sanzi
Ikibidi mniongezee mengine kwani nataka kuoa kwenu.
Mimi ninavyojua shemejini - nkwela au mimi fakemwansha kinehe=umeamkaje
duhu=hapana
sanzi=wazazi wako ww na wazazi wa mkeo ndivyo wanavyoitana
bageshi=mmeoa mji mmoja ndivyo mtakavyoita
goko=shemeji
mae goko=mama mkwe
mwansha kinehe=umeamkaje
duhu=hapana
sanzi=wazazi wako ww na wazazi wa mkeo ndivyo wanavyoitana
bageshi=mmeoa mji mmoja ndivyo mtakavyoita
goko=shemeji
mae goko=mama mkwe
mwansha kinehe=umeamkaje
duhu=hapana
sanzi=wazazi wako ww na wazazi wa mkeo ndivyo wanavyoitana
bageshi=mmeoa mji mmoja ndivyo mtakavyoita
goko=shemeji
mae goko=mama mkwe
nkoi, shemeji= nkwera, guku = babumwansha kinehe=umeamkaje
duhu=hapana
sanzi=wazazi wako ww na wazazi wa mkeo ndivyo wanavyoitana
bageshi=mmeoa mji mmoja ndivyo mtakavyoita
goko=shemeji
mae goko=mama mkwe
Tulihoi namhala, mhola kukayaying'we? Unkwela wane nabha nigini?bako ngwise mlehohil
Tulihoi namhala, mhola kukayaying'we? Unkwela wane nabha nigini?