Pilitoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 1,190
- 497
Eneo la usukumani/unyamwezini kwa muda mrefu limetumika sana kunufaisha mafisi fulani ndani ya nchi hii.Haya mafisi na manyang'au wakubwa wanatokea chama tawala na vyama vya upinzani pia.Ni muda mwafaka sasa wa sisi wazawa kutambua nani atatufikisha Kanani na siyo kuendekeza siasa za kipumbavu, tuache mikumbo, tuchekeche tujue nani anatufaa.Mtu anayetokea nyumbani ni bora kuliko kibaka mwingine, tuwe macho tumechoka kuonewa