Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,424
Msukuma gani huyo anakula kichuri? Au unahisi kila anayekaa Mwanza ni Msukuma?
Kichuri chakula cha wakurya, acha upotoshaji!
Kichuri chakula cha wakurya, acha upotoshaji!
Nyani Ngabu unakula kichuri nawe?
Hahahaa. . .kwa kuongezea hayaitwi mavi kabla hayajanyewaKichuri sio mavi ya Ng'ombe.
Ile ni zile nyasi ambazo mnyama kama mbuzi au Ng'ombe anakua amekula ziko kwenye utumbo mwembamba zikimeng'enywa kabla hazijahamia utumbo mpana kua mavi.
So ni sawa na ile wanaita work in progress, sio nyasi na sio mavi. So bado inakua ina virutubisho vyote vya yale majani, ndio inatolewa inamiksiwq na nyongo.
Makabila mengi wanakula hiyo kitu sio wa mwanza tu, na sio wasukuma wanakula hiyo, hiyo ni ya jamii ya wakurya wote wa mkoa wa mara.
Kichuli, ile ni kama appetiser, unaweza kula mbuzi nzima, achana na kichuri.
Kumbe upoNyani Ngabu unakula kichuri nawe?
Tatizo mnazania watu wote ni wageni apa Tanzania hivyo kuamua kutudaganya.Usikariri. Wote wanaokula ndizi ni Wahaya, makande ni Wapare au mtori ni Wachaga pekee?
Siyo mara tu mkuu hata dodoma kwa sasa tunakipataAchana na hyo kitu,kichuri ni bidhaa adimu sana Mara
DUHH ile ilinishinda maana wanachukua nyama laini,wanachanganya na hayo majani wanaweka kwenye kifuko cha nyongo,duhhh inaitaji ujasiri kulaKichuri sio mavi ya Ng'ombe.
Ile ni zile nyasi ambazo mnyama kama mbuzi au Ng'ombe anakua amekula ziko kwenye utumbo mwembamba zikimeng'enywa kabla hazijahamia utumbo mpana kua mavi.
So ni sawa na ile wanaita work in progress, sio nyasi na sio mavi. So bado inakua ina virutubisho vyote vya yale majani, ndio inatolewa inamiksiwq na nyongo.
Makabila mengi wanakula hiyo kitu sio wa mwanza tu, na sio wasukuma wanakula hiyo, hiyo ni ya jamii ya wakurya wote wa mkoa wa mara.
Kichuli, ile ni kama appetiser, unaweza kula mbuzi nzima, achana na kichuri.
Yaani haya majitu yamejawa chuki na Uongo mpaka inaogopesha mkuu.Kuanzia lini msukuma akala kichuri, apo umetudaganya.
Kibhulanga ni nini?Mi nakula kibhulanga.
Pia napenda sana korodani za mbuzi. Hizi ndo zimeniongezea saizi ya dhakari.
Unataka nikutengenezee kibhulanga siku moja?
Eeh,nawe naona upoKumbe upo
Nipo mkuu,,ulipotea kidogo etEeh,nawe naona upo
Hujui unachokiongea, search humu niliishatolea ufafanuzi wa kichuri ni niniUkizunguka mitaa mbalimbali hapa jijini Mwanza hasa mida ya jioni kuanzia mjini kati, Igoma, Buswelu, National na mitaa mingine mingi basi utakutana na moshi mwingi unaofuka kwenye majiko watu wakiwa busy kuchoma mishikaki ya moyo, maini, korodani, maziwa na maviungo mengine ya ng'ombe.
Kanda ya ziwa hasa Mwanza hakuna kiungo cha ng'ombe kinachotupwa, labda pembe na kwato tu. Huku kuna kitu kinaitwa kichuri, ni mchanganyiko wa mavi ya ng'ombe na nyongo. Wenyeji wanakula nyama choma ugali mwekundu wanashushia na kichuri yaani mavi na nyongo.
Ukitaka mishikaki ya kila kitu basi huku inapatikana, korodani, maini, moyo, utumbo, maziwa na madude mengine.
Kuishi Mwanza raha sana.