Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 189
Hivi wadau kuna ukweli kwamba Wakina Ngosha hata kama awe Mheshimiwa sana kama Mzee wa vijisenti, akisha kamata kinywaji kikamkolea kiasi chake, lazima aombe kuimba mistari kadhaa; na la mkimkatalia basi ataenda zake ****** na kumalizia kiu yake ya kuchana mistari huko?.