hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Ustaarabu una maana pana mkuu ", ni zaidi ya hiyo tafasiri ambayo tunaipachikaTabora wastaarabu lakini most of them ni watu wa majungu majungu ....
Makabila ma3 haitatokea niishi mikoa yao,
1 Wanyamwezi
2 Wakurya
3 Wajaluo
Ukiwa mkarimu --- halafu hauogi wewe bado sio mstaarabu ".... neno ustaarabu linabeba mfumo mzima wa maisha ", watu wa kale walikuwa wanatoka katika nchi zao na kwenda misri kufuata Elimu kwa sababu inasadikika kwamba misri ya kale ndio sehemu ya kwanza kuwa na ustaarabu duniani (ambayo ni ELIMU )
Sent using Jamii Forums mobile app