carter
JF-Expert Member
- Jan 23, 2009
- 3,664
- 4,249
Mkuu, kwa mujibu wa "Swahili Oxford Living Dictionaries", Ustaarabu ni "Hali ya mtu kuwa na vitendo, tabia namwenendo unaolingana na maadili ya jamii inayohusika". Kwa bandiko hili unataka kusemaje? Ni ustaarabu gani unaoongelea? Kilangila.Mtwara
Lindi
Tanga
Kigoma
Kilimanjaro-upareni.
Mikoa yote ya Zanzibar
Tabora
Morogoro
Pwani
Dodoma-kondoa
NB: ustarabu kote upo ila hiyo mikoa level yao iko juu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
No research no right to speak.Mtwara
Lindi
Tanga
Kigoma
Kilimanjaro-upareni.
Mikoa yote ya Zanzibar
Tabora
Morogoro
Pwani
Dodoma-kondoa
NB: ustarabu kote upo ila hiyo mikoa level yao iko juu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuomba mtandao?Zanzibar ungeiweka pale mwanzo kabisa, kwa udini, Siyo ustaarabu.
Hayo meusi ndo ninayo yasubiri niyajuwe.Wema hauna kwao na ubaya hauna kwao. Ustaarabu sio registered trade mark ya watu fulani. Mtu yeyote anaweza kuamua kuwa mstaarabu au kinyume chake ingawa mazingira nayo huweza changia
Nimeishi Znz nimesoma kule, nimemsoma mtu kama Ghassani na kwa kweli ukiisoma historia ya kule na mambo waliofanyiana hata chakula huwezi kula.
Watu unaweza kuwakuta ustaarabu kwenye jambo hili ukawakuta washenzi kwenye jambo lingine. Kwa mfano nilienda wakati fulani Chake Chake Pemba pale nikaenda sehemu kunywa Kahawa wakati huo adhana ikawa inaita yule Muuzaji wa Kahawa akanambia kunywa ukimaliza weka pesa mezani uende zako. Si hivyo siku nyingine nilikuwa kwenye daladala Wete nikashuhudia kuna mtu kaja kwenye lile daladala akauliza nani anaenda Chakechake kuna jamaa wakajibu akamteua mmoja akamkabidhi laki akamwambia akifika pale Chakechake Nmb amuulizie mtu anaitwa Amir amkabidhi. Matukio hayo mawili yalinipiga bumbuwazi juu ya uaminifu wa watu wale, hata hivyo mwenyeji wangu alivyonihadithia kuhusu mambo yao mengine meusi ya usiku nilijisikia vibaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Waha nimeishi nao ni wastaarab sema wanajiharibia kwa ubishi wa kijinga tu.Write your reply...
nafikiri wagogo ndo wa mwisho kwa ustaarabu,kama unabisha weka kwako mpangaji mgogo,au jaribu kupita pale machinjioni vingunguti
waha nao kwa ustaarabu,sifuri kabisa
Nilikuwa majuzi maeneo ya Dodoma, nilichojifunza ni kuwa sifa kuu za Warangi ni roho mbaya na ulozi, ila Wapare hasa wale wa maeneo ya tambarare wana sifa kama hizo za Kirangi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha ha haa --- ustaarabu ni mfumo unaogosa Mazingira yote au mfumo wote wa maisha "...Labda ustaarabu wa kufuga ndevu na kuvaa vipedo
Miji kama Iringa na Moshi, ambayo ilitajwa kuongoza kwa usafi Tanzania hujaitaja.
Umetaja eti sijui Lindi, Tanga, sehemu ambazo hadi karne hii Serikali inawalazimisha wajenge vyoo la sivyo watawatoza faini ama watawafunga..
Nyie watwana wa kiarabu bana
Haha " Mpaka kigoma nadhani mtoa mada anadhani neno Ustaarabu lina bebwa na neno ukarimu pekee " yaani kama akienda sehemu akakaribishwa vizuri tu halafu akapatiwa malazi au chakula basi kwake huo unakuwa tayari ni ustaarabu "