kasyabone tall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2009
- 254
- 59
SAMAHANI WANAJF NINGEPENDA KUELIMISHWA KIDOGO JUU YA KIWANGO CHA MAHARI INACHOPASWA MTU KULIPISHWA KWA MAISHA YA SASA.
Maana kuna mambo mengi ambayo yanachanganya sana. Ukijipeleka unataka kuoa Mahari inatajwa bei ya gari, ukijilia kimya kimya cost ni nafuu kuliko kuoa. Sasa tutaishi hivi mpaka lini?
Wazee hawaelewi mabadiliko ya maisha, wanataka tulipe mamilioni. Ningependa kujua bila kujali makabila, kwa maisha ya sasa ya mjin, mahari ina thamani gani? Kama umeoa hivi karibuni umelipa mahari kiasi cha Tsh ngapi? Hii itatusaidia sana sisi vijana ambao bado hatujaoa tujue kama kunakuoa au la.
Maana kuna mambo mengi ambayo yanachanganya sana. Ukijipeleka unataka kuoa Mahari inatajwa bei ya gari, ukijilia kimya kimya cost ni nafuu kuliko kuoa. Sasa tutaishi hivi mpaka lini?
Wazee hawaelewi mabadiliko ya maisha, wanataka tulipe mamilioni. Ningependa kujua bila kujali makabila, kwa maisha ya sasa ya mjin, mahari ina thamani gani? Kama umeoa hivi karibuni umelipa mahari kiasi cha Tsh ngapi? Hii itatusaidia sana sisi vijana ambao bado hatujaoa tujue kama kunakuoa au la.