#COVID19 Wastani wa watu 38,400 kupata chanjo katika kila Mkoa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,007
9,873
Wadau, chanjo zilizopo ni chache, wastani katika mikoa 26 watakao choma ni 38400 kila mkoa

Kila kituo watachoma wastani watu 1800 kumbuka kuna vituo 550

Swali ni Je, ikitokea ukachoma then ukapoteza cheti inabidi ujipange upya kugongwa nyingine au inakuwaje?

wataalamu plz help
 
Walisema ukichanjwa jina lako linaingia kwenye database ya dunia nzima, nafikiri wataweka utaratibu wa kukuchapishia kingine wakiangalia kwenye hiyo database
 
Wadau, chanjo zilizopo ni chache, wastani katika mikoa 26 watakao choma ni 38400 kila mkoa

Kila kituo watachoma wastani watu 1800 kumbuka kuna vituo 550

Swali ni Je, ikitokea ukachoma then ukapoteza cheti inabidi ujipange upya kugongwa nyingine au inakuwaje?

wataalamu plz help
Zote hizo wanawachoma mbwa au? Maana hakuna atakayeenda kuchoma zaidi ya hao waliolipwa kufanya maigizo
 
Kule kwa chumba cha kuchanjia zaidi ya nurse kuna mtu mwingine anahakiki?
Km ni nurse pekee huoni km kutakuwa na plan B?

Wanachokagua si ni original certificate tu ?
Labda km wanakudunga chip.
Suala sio certificate, suala ni jina liingizwe kwenye database ya dunia...ni kama watu waliokuwa wananunua vyeti feki vya NECTA, wakikihakiki kwenye database unakuta hamna kitu🐒
 
Suala sio certificate, suala ni jina liingizwe kwenye database ya dunia...ni kama watu waliokuwa wananunua vyeti feki vya NECTA, wakikihakiki kwenye database unakuta hamna kitu
NECTA ni process ndefu sana, ninachozungumzia ni ile process ya robo dakika..... canabis mbona huelewi?
 
NECTA ni process ndefu sana, ninachozungumzia ni ile process ya robo dakika..... canabis mbona huelewi?
Kupewa kadi ya karatasi ni rahisi, swali linalokuja ni je jina lako litaingizwa electronically kwenye mfumo wa rekodi za waliochanjwa ? Its the same semantics, hata kadi za mpiga kura wapo wanaochapisha fasta ndani ya dakika chache lakini ukiingia kwenye database ya NEC unakuta hamna kitu, umeelewa sasa ?🤣🤸🐒
 
Kupewa kadi ya karatasi ni rahisi, swali linalokuja ni je jina lako litaingizwa electronically kwenye mfumo wa rekodi za waliochanjwa ? Its the same semantics, hata kadi za mpiga kura wapo wanaochapisha fasta ndani ya dakika chache lakini ukiingia kwenye database ya NEC unakuta hamna kitu, umeelewa sasa ?
Process zote nafanya,ila ya kutoboa tu nairuka.
 
Back
Top Bottom