Wastani wa wasichana 100 hukeketwa kila siku-Manispaa ya tarime

mojoki

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
1,314
290
Imefahamika kwamba katika manispaa ya tarime tena tarime mjni wastani wa wasichana 100 hukeketwa kila siku,huku vyombo vya dola vikilikalia kimya suala hilo

Kumbuka kukeketwa sio kosa,kosa ni anayehamasisha kukeketwa na mkeketaji hawa ndo watuhumiwa
 
who told you they are happy!.au wewe ni mmoja wa keketaji tukutafute
 
Imefahamika kwamba katika manispaa ya tarime tena tarime mjni wastani wa wasichana 100 hukeketwa kila siku,huku vyombo vya dola vikilikalia kimya suala hilo

Kumbuka kukeketwa sio kosa,kosa ni anayehamasisha kukeketwa na mkeketaji hawa ndo watuhumiwa

not tru, and never will be
 
Imefahamika kwamba katika manispaa ya tarime tena tarime mjni wastani wa wasichana 100 hukeketwa kila siku,huku vyombo vya dola vikilikalia kimya suala hilo

Kumbuka kukeketwa sio kosa,kosa ni anayehamasisha kukeketwa na mkeketaji hawa ndo watuhumiwa

tarime?, mbali kote huko?. Hata pale jijini d-a-r e-s s-a-l-a-a-m (kivule,nyantira,kitunda) watu wanajikeketea vibinti vyao kama kawa sembuse huko t-a-r-i-m-e miles away from the state. Swali langu ni je, kama kila siku wana fyeka vidude 100 kuna wasichana wangapi katika wilaya hiyo?.
 
heshimuni mila za watu! After all, they are happy for their tradition

Not real, wawangoje wakikua waamue wenyewe,
kwanini wawakekete wakiwa wadogo?
Nadhani si idhaa yao wanalazimishwa.

Jamani hawa mangaliba bado wapo?
 
Back
Top Bottom