Wastani ni dk 5.4 kwa wanaume (6x6)

kweli kabisa.. wanyama wote wanao wazunguka ni ndani ya dk 1. Mtu anakwambia 45 mins na una amini.. wengine wamepata hadi magonjwa ya moyo kwa sababu ya kutafuta hizo 45 mins.
Nadhani serikali ipige marufuku hii biashara maana itakuja kuleta madhara makubwa katika jamii.

Wengi wataugua magonjwa ya moyo na pressure kwa sababu dawa hizo huchochea zaidi mzunguko wa damu
 
Nadhani serikali ipige marufuku hii biashara maana itakuja kuleta madhara makubwa katika jamii.

Wengi wataugua magonjwa ya moyo na pressure kwa sababu dawa hizo huchochea zaidi mzunguko wa damu
Kabisa.. zina override.. eti saa 1 mtu hakojoi
 
unaweza usiwe na tatizo la nguvu za kiume lakini swala la kuwai kumaliza ni tatizo maana yake unamatatizo ya kisaikolojia , una experience mdogo na tendo, una tatizo la kuwa over sensitive au unashida kwenye mfumo wa upumuaji , nguvu za kiume sio muda wa kukaa tendoni , kunatofauti ya sexual drive na sexual stamina, sexual drive ni uwezo wa kuamsha dude kusimamisha na kufanya uume kuendelea kisimama na huitaji wa kuendelea na tendo sexual stamina ni uwezo wa kudumu kwenye tendo kama wewe unadumu dakika tano wewe ni mgonjwa wa moja ya hayo niliyosema , swala la average na takwimu sio fact ya kuhalalisha jambo kitakwimu watu wengi ni wagonjwa kuliko watu wazima lakini huwezi kutetea kuwa mgonjwa ni jambo la kawaida.
 
unaweza usiwe na tatizo la nguvu za kiume lakini swala la kuwai kumaliza ni tatizo maana yake unamatatizo ya kisaikolojia , una experience mdogo na tendo, una tatizo la kuwa over sensitive au unashida kwenye mfumo wa upumuaji , nguvu za kiume sio muda wa kukaa tendoni , kunatofauti ya sexual drive na sexual stamina, sexual drive ni uwezo wa kuamsha dude kusimamisha na kufanya uume kuendelea kisimama na huitaji wa kuendelea na tendo sexual stamina ni uwezo wa kudumu kwenye tendo kama wewe unadumu dakika tano wewe ni mgonjwa wa moja ya hayo niliyosema , swala la average na takwimu sio fact ya kuhalalisha jambo kitakwimu watu wengi ni wagonjwa kuliko watu wazima lakini huwezi kutetea kuwa mgonjwa ni jambo la kawaida.
Umeeleza vizuri lakini hapo mwisho umeharibu
 
Duh, nina watoto 3 na mama yoyo, ka schools fees kako kamoja, wa 1 keshaanza, wa 2 yuko (varisity) mwaka 2 na kamkopo kake, kuna bills za maji, umeme kila mwezi, mazagazaga kila wiki, petroli, mchele, unga, maharage kila wiki, dinner kwa mama kila mwezi, kuendeleza miji, magari kuharibika, michango ya ndoa, misiba na ya vyama vya kusaidiana, swala la nguo na boots kwangu siyo issue sana, ila mama yoyo lazima atupiwe ka perfume na kazawadi isizidi miezi 3, biashara haiendi kama zamani, tunachumia tumbo tu, msaidizi shamba, home na kwenye biashara wasisahauliwe, repairs bomani za hapa na pale hasa baada ya mvua kama hizi kutuharibia maboma, yote haya yavuruga kichwa...
Sasa wajameni hizo goli kumi na dk 90, au kumpa mama yoyo haki yake baada ya dk kadhaa mbona naona ni maumivu na mateso kwangu?!
Labda wenzangu pamoja na majukumu kama yangu mko fit zaidi...
Kwenye mathematics kuna kitu kinaitwa balance equation maisha yasikuchanganye ukasahau kumridhisha mkeo
 
Kwenye mathematics kuna kitu kinaitwa balance equation maisha yasikuchanganye ukasahau kumridhisha mkeo
Na kumridhisha mkeo isiwe jambo la kuwaza sana kana kwamba ni kupanda mlima mrefu sana.. laiti mngejua hata isinge kuwa issue ya kuiwekea mikakati. Ubinafsi na kujiona bora ndio mwanzo wa matatizo.
 
Raha ya mechi ni mabao, yawe ya kipindi cha kwanza au cha pili ila mechi yoyote yenye mabao huvutia hata kutazama.

Mimi huwa wakianzisha mpira tu napiga long ball hadi golini maana kipa anakuwa kasogea mbele na kaacha goli wazi.
Kwenye PES utafunga mengi SANA mkuu
 
From 1-2 mins-TOO SHORT
From 10-30 mins-TOO LONG
From 3-7 mins-ADEQUATE
From 7-13 mins-DESIRABLE

NB: PEOPLE tend to conflate LONGER SEX WITH BETTER SEX...sio kila longer sex is better sex japokuwa me mwenyewe nikiwa na uchu nakandamiza dakika za kutosha tu....
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom