Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,958
- 3,984
Sana nahisi hata mtoa post ndoa yake imeponaNadhani hii tafiti itaponya ndoa nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana nahisi hata mtoa post ndoa yake imeponaNadhani hii tafiti itaponya ndoa nyingi
Nadhani serikali ipige marufuku hii biashara maana itakuja kuleta madhara makubwa katika jamii.kweli kabisa.. wanyama wote wanao wazunguka ni ndani ya dk 1. Mtu anakwambia 45 mins na una amini.. wengine wamepata hadi magonjwa ya moyo kwa sababu ya kutafuta hizo 45 mins.
Kabisa.. zina override.. eti saa 1 mtu hakojoiNadhani serikali ipige marufuku hii biashara maana itakuja kuleta madhara makubwa katika jamii.
Wengi wataugua magonjwa ya moyo na pressure kwa sababu dawa hizo huchochea zaidi mzunguko wa damu
Mwongo!!
Basi we mgonjwa.. hata simba na minguvu yake ni dk 1
Umeeleza vizuri lakini hapo mwisho umeharibuunaweza usiwe na tatizo la nguvu za kiume lakini swala la kuwai kumaliza ni tatizo maana yake unamatatizo ya kisaikolojia , una experience mdogo na tendo, una tatizo la kuwa over sensitive au unashida kwenye mfumo wa upumuaji , nguvu za kiume sio muda wa kukaa tendoni , kunatofauti ya sexual drive na sexual stamina, sexual drive ni uwezo wa kuamsha dude kusimamisha na kufanya uume kuendelea kisimama na huitaji wa kuendelea na tendo sexual stamina ni uwezo wa kudumu kwenye tendo kama wewe unadumu dakika tano wewe ni mgonjwa wa moja ya hayo niliyosema , swala la average na takwimu sio fact ya kuhalalisha jambo kitakwimu watu wengi ni wagonjwa kuliko watu wazima lakini huwezi kutetea kuwa mgonjwa ni jambo la kawaida.
Ubarikiwe sanaMimi ilisha pona na naendelea nayo kwa raha zangu.. sina stress tena.
Tatizo hili nowadays limekuwa kubwa sijui ni vyakula au ni nn
Kwenye mathematics kuna kitu kinaitwa balance equation maisha yasikuchanganye ukasahau kumridhisha mkeoDuh, nina watoto 3 na mama yoyo, ka schools fees kako kamoja, wa 1 keshaanza, wa 2 yuko (varisity) mwaka 2 na kamkopo kake, kuna bills za maji, umeme kila mwezi, mazagazaga kila wiki, petroli, mchele, unga, maharage kila wiki, dinner kwa mama kila mwezi, kuendeleza miji, magari kuharibika, michango ya ndoa, misiba na ya vyama vya kusaidiana, swala la nguo na boots kwangu siyo issue sana, ila mama yoyo lazima atupiwe ka perfume na kazawadi isizidi miezi 3, biashara haiendi kama zamani, tunachumia tumbo tu, msaidizi shamba, home na kwenye biashara wasisahauliwe, repairs bomani za hapa na pale hasa baada ya mvua kama hizi kutuharibia maboma, yote haya yavuruga kichwa...
Sasa wajameni hizo goli kumi na dk 90, au kumpa mama yoyo haki yake baada ya dk kadhaa mbona naona ni maumivu na mateso kwangu?!
Labda wenzangu pamoja na majukumu kama yangu mko fit zaidi...
Na kumridhisha mkeo isiwe jambo la kuwaza sana kana kwamba ni kupanda mlima mrefu sana.. laiti mngejua hata isinge kuwa issue ya kuiwekea mikakati. Ubinafsi na kujiona bora ndio mwanzo wa matatizo.Kwenye mathematics kuna kitu kinaitwa balance equation maisha yasikuchanganye ukasahau kumridhisha mkeo
Kwenye PES utafunga mengi SANA mkuuRaha ya mechi ni mabao, yawe ya kipindi cha kwanza au cha pili ila mechi yoyote yenye mabao huvutia hata kutazama.
Mimi huwa wakianzisha mpira tu napiga long ball hadi golini maana kipa anakuwa kasogea mbele na kaacha goli wazi.
kuna binadamu mnavipindiNapiga mabao yangu kisha nabaki kupiga pasi za maudhi na kuchelewesha muda.
Ulanzi na kale kanyamaUlanzi sio mzuri