Wastani ni dk 5.4 kwa wanaume (6x6)

Sina upungufu kwanza ugali wangu ni huu hapa mwanaume wa kijijini!
IMG_20190514_174447.jpeg
 
Una uelewa wowote wa hesabu wewe? Hauwezi kuwa na 75% wakimaliza katika dakika 2 halafu wasitani uwe dakika 5.4. Haiwezekani kimahesabu. Wastani hauwezi kuwa katika 25% iliyobaki. Wastani ni lazima uwe kwenye upande wa 75% yaani karibia na dakika 2. Juwa kwamba 75% ni kubwa mara 3 kuliko 25% iliyobaki. Ni sawa na kusema wastani wa umri wa mzee mwenye miaka 80 na mwenye miaka 70 na mtoto mwenye miaka 10 ni miaka 7. Wastani ni lazima uelekee kule kwenye namba kubwa (80 na 70) ama waliko wengi. Hizi ni hesabu rahisi. Hazihitaji utafiti.
Utafiti ulifanywa huko marekani mwaka 2015 unaonyesha kuwa 75% ya wanaume hutoa wazungu ndani ya dk 2 .

Na wastani ni dk 5.4. Utafiti huo unaonyesha ni wanaume wachache sana ambao walizidi dk 13 .

Usidanganywe eti una upungufu wa nguvu za kiume.. jiamini upo vizuri.


Pia wanawake acheni kuwapa hofu wanaume, toeni ushirikiano.

Hakuna mwanaume mwenye upungufu .
 
Dakika 1.5 utakuwa na mapungufu.
A fit man should spend atleast 10minutes

Sio kweli, unaweza spend hzo dk10 afu ukamwaga ukashindwa endelea afu yule alotoa dk2 akawa na uwezo wa kuendelea hadi 30mins uko akitafuta la2. Wanaume tumetofautiana
 
Nakubaliana na wewe. Kuna akina dada/mama wanafika mwisho katika dakika 2-3. Kuna wengine wametembea weeeee, na wanaume mbalimbali, leo wana miaka 40 hawajui kilele kinafananaje. Tendo la ndoa limeumbwa kwa ajili ya uzazi. Madhumuni yake ni kutoa mbegu kwenda kwa mwanamke, siyo la kufurahishana. Kibaolojia, mwanaume yule anayetoa haraka ndiye mshindi.
Mwanamke wa kawaida (ambaye hajakomazwa na dushe nyingi) within 5 mns kama hakuwa forced kusex anakuwa alishafika kileleni...kwahio kama bao la kwanza sio chini ya dk 3 uko vizuri mkuu.... jitahidi tu kupunguza hizo dk saba uwe unaamsha dude fasta
 
Kipimo cha UANAUME NA KUJIJUA KAMA UNA NGUVU.. ni uwezo wa kuunganisha goli
1~2,
3~4,
5,
6..
Tendo la Ndoa kwangu ni IBADA.. na naifanikisha KIKAMILIFU na kwa UFASAHA
 
Utafiti ulifanywa huko marekani mwaka 2015 unaonyesha kuwa 75% ya wanaume hutoa wazungu ndani ya dk 2 .

Na wastani ni dk 5.4. Utafiti huo unaonyesha ni wanaume wachache sana ambao walizidi dk 13 .

Usidanganywe eti una upungufu wa nguvu za kiume.. jiamini upo vizuri.


Pia wanawake acheni kuwapa hofu wanaume, toeni ushirikiano.

Hakuna mwanaume mwenye upungufu .
IT BEGINS WITH PSYCHOLOGY.
 
Nakubaliana na wewe. Kuna akina dada/mama wanafika mwisho katika dakika 2-3. Kuna wengine wametembea weeeee, na wanaume mbalimbali, leo wana miaka 40 hawajui kilele kinafananaje. Tendo la ndoa limeumbwa kwa ajili ya uzazi. Madhumuni yake ni kutoa mbegu kwenda kwa mwanamke, siyo la kufurahishana. Kibaolojia, mwanaume yule anayetoa haraka ndiye mshindi.
Wengi wangejua hili unalo liongea hapa wasinge taabika na michepuko kwa kizingizio cha wenza wao kukosa eti nguvu za kiume.

Kukosa nguvu za kiume ni ugonjwa wa kutengenezwa kiuhalisia haupo.

Kitendo hiki kitakatifu lazima kianze kwa maridhiano na kwa kufanya hivo lazima maongezi nyegezi yahusike na ndio hapo wanawake hupapenda kuliko mechi yenyewe.
 
Mwanamke wa kawaida (ambaye hajakomazwa na dushe nyingi) within 5 mns kama hakuwa forced kusex anakuwa alishafika kileleni...kwahio kama bao la kwanza sio chini ya dk 3 uko vizuri mkuu.... jitahidi tu kupunguza hizo dk saba uwe unaamsha dude fasta
Nataka nikuulize..

Mfano mwanamke amechemka ndani ya dk 1 na wewe umechemka ndani ya dk 2..

Utakua umepungukiwa na nini?

Mambo mawili tuu ya kuzingatia

1. Upate bao linalo kupa utamu, linatoka kama risasi , unahisi kila kitu kimetawanyika.

2. Mwanamke afike kileleni na aone utamu wa jambo alilo lifanya.. akimaliza ni usingizi tuu hakuna kingine.

Sasa usipo fanya maandalizi , utakesha kutafuta haya mambo mawili na huta yapata.

Wakati kuna wenzio session nzima ni kama dk 45. Dk 43 ana noa shoka na dk 2 anatumia kukata mti.
 
Duh, nina watoto 3 na mama yoyo, ka schools fees kako kamoja, wa 1 keshaanza, wa 2 yuko (varisity) mwaka 2 na kamkopo kake, kuna bills za maji, umeme kila mwezi, mazagazaga kila wiki, petroli, mchele, unga, maharage kila wiki, dinner kwa mama kila mwezi, kuendeleza miji, magari kuharibika, michango ya ndoa, misiba na ya vyama vya kusaidiana, swala la nguo na boots kwangu siyo issue sana, ila mama yoyo lazima atupiwe ka perfume na kazawadi isizidi miezi 3, biashara haiendi kama zamani, tunachumia tumbo tu, msaidizi shamba, home na kwenye biashara wasisahauliwe, repairs bomani za hapa na pale hasa baada ya mvua kama hizi kutuharibia maboma, yote haya yavuruga kichwa...
Sasa wajameni hizo goli kumi na dk 90, au kumpa mama yoyo haki yake baada ya dk kadhaa mbona naona ni maumivu na mateso kwangu?!
Labda wenzangu pamoja na majukumu kama yangu mko fit zaidi...
 
Back
Top Bottom