Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Utafiti ulifanywa huko marekani mwaka 2015 unaonyesha kuwa 75% ya wanaume hutoa wazungu ndani ya dk 2 .
Na wastani ni dk 5.4. Utafiti huo unaonyesha ni wanaume wachache sana ambao walizidi dk 13 .
Usidanganywe eti una upungufu wa nguvu za kiume.. jiamini upo vizuri.
Pia wanawake acheni kuwapa hofu wanaume, toeni ushirikiano.
Hakuna mwanaume mwenye upungufu .
Na wastani ni dk 5.4. Utafiti huo unaonyesha ni wanaume wachache sana ambao walizidi dk 13 .
Usidanganywe eti una upungufu wa nguvu za kiume.. jiamini upo vizuri.
Pia wanawake acheni kuwapa hofu wanaume, toeni ushirikiano.
Hakuna mwanaume mwenye upungufu .