WASTAAFU wanapewa tena madaraka kwanini?

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
Nimefuatilia kwa muda mrefu suala la uteuzi wa viongozi katika Tanzania nikashindwa kuelewa usahihi wa mtu kustaafu, eneo moja (hasa jeshini) na kisha kupewa madaraka mengine eneo jingine.
Kwa mfano unasikia KANALI MSTAAFU ..... ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani au wilayaa fulani.
Kuna siri gani kuhusu jammbo hili wana JF?
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu suala la uteuzi wa viongozi katika Tanzania nikashindwa kuelewa usahihi wa mtu kustaafu, eneo moja (hasa jeshini) na kisha kupewa madaraka mengine eneo jingine.
Kwa mfano unasikia KANALI MSTAAFU ..... ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani au wilayaa fulani.
Kuna siri gani kuhusu jammbo hili wana JF?

Kwa mfano wako wa kijeshi, tangu siasa itenganishwe na jeshi imekuwa hairuhusiwi kwa mwanajeshi kushika wadhifa wa kisiasa.Ndiyo maana ikibidi mtu aliye mwanajeshi aingie kwenye siasa, itatakiwa kwanza astaafu jeshi. Wanajeshi hawa hupenda kujulikana kwa vyeo vyao vya kijeshi kama achievement fulani/ title, ndiyo maana unasikia Kanali mstaafu Jaka Mwambi / Jakaya Kikwete etc.

Pia nje ya jeshi kuna dhana kwamba kuna watu wengi wamejenga uzoefu wa siku nyingi sana na kuachiwa wastaafu tu bila kutumiwa, hususan kama nguvu wanazo bado, itakuwa ni hasara, ndiyo maana wastaafu wsio wajeshi wanatumiwa.Lakini hapo hapo kuna vijana wanasema hii inazuia vijana wachanga kupanda ngazi. Hakuna sababu ya kufanya wastaafu wachache wenye rekodi nzuri sana kutotumiwa pamoja na vijana ili vijana wapate kujifunza kutoka kwa wastaafu walio na uzoefu wa siku nyingi na mara nyingine hata hawa wastaafu kujifunza mambo mapya kutoka kwa vijana, as long as hii haiwi tabia inayosababisha damu mpya kukosa nafasi.
 
Kwa mfano wako wa kijeshi, tangu siasa itenganishwe na jeshi imekuwa hairuhusiwi kwa mwanajeshi kushika wadhifa wa kisiasa.Ndiyo maana ikibidi mtu aliye mwanajeshi aingie kwenye siasa, itatakiwa kwanza astaafu jeshi. Wanajeshi hawa hupenda kujulikana kwa vyeo vyao vya kijeshi kama achievement fulani/ title, ndiyo maana unasikia Kanali mstaafu Jaka Mwambi / Jakaya Kikwete etc.

Pia nje ya jeshi kuna dhana kwamba kuna watu wengi wamejenga uzoefu wa siku nyingi sana na kuachiwa wastaafu tu bila kutumiwa, hususan kama nguvu wanazo bado, itakuwa ni hasara, ndiyo maana wastaafu wsio wajeshi wanatumiwa.Lakini hapo hapo kuna vijana wanasema hii inazuia vijana wachanga kupanda ngazi. Hakuna sababu ya kufanya wastaafu wachache wenye rekodi nzuri sana kutotumiwa pamoja na vijana ili vijana wapate kujifunza kutoka kwa wastaafu walio na uzoefu wa siku nyingi na mara nyingine hata hawa wastaafu kujifunza mambo mapya kutoka kwa vijana, as long as hii haiwi tabia inayosababisha damu mpya kukosa nafasi.
Dah! Ndugu yangu hao wastaafu walio tayari kujifunza toka kwa vijana, may be sio kutoka bongo, kama si Afrika.
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu suala la uteuzi wa viongozi katika Tanzania nikashindwa kuelewa usahihi wa mtu kustaafu, eneo moja (hasa jeshini) na kisha kupewa madaraka mengine eneo jingine.
Kwa mfano unasikia KANALI MSTAAFU ..... ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani au wilayaa fulani.
Kuna siri gani kuhusu jammbo hili wana JF?

Nafasi kama hizi za kuteuliwa zina madhumuni kadhaa:

1.Kulipa fadhila.
2.Kuua kisiasa maadui zako
3.Kutunza siri za serikali kutoka kwa wastaafu walio wahi kushika nafasi nyeti
4.Kusaidiana. Unakuta wengine wana staafu wamechacha kwa hiyo kama ana connection anapewa nafasi ya kuteuliwa.
5.political strategy. Huyo unayemteua sehemu fulani anaweza kwenda kukufanyia kazi fulani.
 
FOR GOD SAKE eti Peter Kisumo ateuliwa Mwenyekiti wa bodi wa Voda? Ana miaka 74 hivi?
BODI ya Wakurugenzi ya Vodacom Tanzania, imemteua Peter Kisumo (74) kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni hiyo.
Taarifa iliyotolewa Jijini jana na Kampuni hiyo imeeleza kuwa uteuzi huo ulianza rasmi mwezi Aprili mwaka 2009.
Bw. Kisumo anachukua nafasi ya Bw. Ferdinand Ruhinda aliyemaliza muda wake.
Bw. Kisumo ambaye historia yake ilianzia kwenye Vyama vya Wafanyakazi (Trade Union) aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini katika awamu ya kwanza hadi ya tatu.
Kwa mara ya kwanza, aliteuliwa kuwa Waziri kwenye serikali ya awamu ya kwanza mwaka 1964.
Baadhi ya nyadhifa alizoshika ni Mwenyekiti Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Kiwanda cha nguo cha Urafiki, Kiwanda cha Mbao Tanzania (TWICO) na Tanganyika Planting Company Limited (TPC).
Kwa sasa Bw. Kisumo ni Mwenyekiti Mtendaji wa Agro Vet na pia ni Mkurugenzi wa Chama cha Wakulima Tanzania (TFA) na Commercial Bank Africa.
Bw. Kisumo ana mke na watoto watatu na wajukuu kumi--- alistaafu utumishi wa Umma mwaka 2000.
 
Wastaafu wenyewe wana uroho wa madaraka, kama mtu umestaafu kwa nn ukubali kuchaguliwa/kuteuliwa tena? Hivyo mie naona hao wastaafu wanauchu/ uroho wa madaraka.
 
Hivi ni kweli?

By KARL LYIMO

Posted Monday, August 3 2009


Tanzanians between the ages of 18 and 40 years constitute a generation lost to gerontocracy — that is, government by old men, or rule by elders at best, whereby the same superannuated group dominates and exercises control.

It is gerontocracy, then, that has seen to it in Africa that the earlier, post-Independence generation that took up high public positions and other leadership posts continues to rule the roost.

Instead of relinquishing power to the upcoming generation, the elderly continue to help each other cling to public service nearly half-a-century later.

In Tanzania, a large number of people who became ministers and other high officials in government or other public institutions in the 1960s are still in senior positions today — board directors, chairmen, etc.

They are to be found in government ministries, independent departments and agencies, crop boards/authorities, parastatal regulatory boards/authorities, public universities, research centres, local government authorities and commissions.

In certain cases, ministers and other high officials who disgraced themselves and were forced to resign under a cloud were allowed back into public service a few years later.

This can only happen in a gerontocratic country where the credo of wenzetu kulindana rules covering up for each other in an old boy network mode.

For example, a finance minister who resigned in disgrace in 1996 was back in public office a few years later as chairman of several boards.

Another minister who was forced to resign in 1996 was somehow catapulted back into public office a few years later courtesy of the gerontocracy. He became minister for six years in two different ministries.

The system also works for people who are clearly unelectable at the polls.

Tanzania’s Constitution empowers the president to nominate such lesser luminaries — up to 10 of them — into parliament. He can then appoint them as ministers, thereby entrenching their loyalty in him rather than the electorate in particular, and the people at large.

The general upshot is that the younger generation who should have ideally taken over the reins of power and leadership beginning, say, in the 1980s are languishing out there in the wilderness.


Source:

ea+logo.png
 
very true.wazee wetu hawajiamini.wanaona wakiachia ngazi wata-lost.some kind of a complex they have towards not being able to enjoy what they had.

may be,being a leader in AFRICA-TANZANIA is like a reward,everyone wants to be one and get one.if leadership was too hard,they would have asked for earlier exits.

it is time to harden our system to make any leadership position a "hell-like-situation" to be dared only by the bravest.

things like public disclosure of their finances,average salaries,very few or no bonuses and freebies,daily monitoring of their lives will certainly turn of many.

mfano yale ma-VX wangeambiwa wayanunue kwa hela yao wenyewe,sio kukopeshwa,wala kupewa.kiongozi akipata madaraka hakuna kuhamia kwenye hekalu la aina yeyote ile,abaki alipo.

kwa mitindo ya aina hiyo,maprofesa watabaki maprosfesa,waalimu watabaki waalimu,na wafanyabiashara hawatataka ubunge.

BUT,if nothing changes,leadership positions in TANZANIA are like pre-heaven for most,somewhere you get yourself in and never get out until you DIE.
 
FOR GOD SAKE eti Peter Kisumo ateuliwa Mwenyekiti wa bodi wa Voda? Ana miaka 74 hivi?
BODI ya Wakurugenzi ya Vodacom Tanzania, imemteua Peter Kisumo (74) kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni hiyo.
Taarifa iliyotolewa Jijini jana na Kampuni hiyo imeeleza kuwa uteuzi huo ulianza rasmi mwezi Aprili mwaka 2009.
Bw. Kisumo anachukua nafasi ya Bw. Ferdinand Ruhinda aliyemaliza muda wake.
Bw. Kisumo ambaye historia yake ilianzia kwenye Vyama vya Wafanyakazi (Trade Union) aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini katika awamu ya kwanza hadi ya tatu.
Kwa mara ya kwanza, aliteuliwa kuwa Waziri kwenye serikali ya awamu ya kwanza mwaka 1964.
Baadhi ya nyadhifa alizoshika ni Mwenyekiti Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Kiwanda cha nguo cha Urafiki, Kiwanda cha Mbao Tanzania (TWICO) na Tanganyika Planting Company Limited (TPC).
Kwa sasa Bw. Kisumo ni Mwenyekiti Mtendaji wa Agro Vet na pia ni Mkurugenzi wa Chama cha Wakulima Tanzania (TFA) na Commercial Bank Africa.
Bw. Kisumo ana mke na watoto watatu na wajukuu kumi--- alistaafu utumishi wa Umma mwaka 2000.

Uteuzi wa mtu kama Kisumo kuwa Mwenyekiti wa kampuni binafsi ya Vodacom mara nyingi unakuwa strategic; maana yake kampuni inamteua mtu ambae wanaweza kumtumia kufanikisha mambo yao hasa yale yanayohusiana na maamuzi toka serikalini.Kwa misingi hiyo hiyo ndio maana Mwenyekiti wa kwanza wa Vodacom alikuwa Msekwa [ wakati huo akiwa Spika wa bunge] na mara alipoukosa uspika wakamtema na ndipo akateuliwa Ferdinand Ruhinda ambae alikuwa karibu sana na Ben Mkapa; na sasa Kisumo anaedhaniwa yu karibu na Kikwete kwa vile alikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo kujitokeza kumuunga mkono Jakaya wakati wa mchakato wa kuwania Urais 2005!!
 
Waoga wa kustaafu na kurudi kwao madongo walikoondoka miaka ya 1968!
Wanalinda ufisadi wao kwa gharama ya maisha yao!
Ni Mafisadi walioamua kufa wakitetea ufisadi!
Ni wachoyo na wenye pupa!
Hawana kwa kwenda!
Wanataka kuzikwa kwa heshima za kitaifa!
Hawajui maisha mengine zaidi ya utumishi serikalini!
Wamezoea kula bure na mademu bure!
Heshima yao inategemea madaraka yao!
Wanadhani bila wao hakuna serikali!
Ni uhuni wa hali ya juu kuacha vishaibu na viajuza kuendelea na kazi!
Wa mwachie nani hali wao ndo wenye kapiriensi?
Vijana wamelaza damu!
Hakuna wa kuziba pengo!
Ni mapenzi ya Mungu kuwa ndani ya utumishi wa serikali!
Wivu tu kwa vile si babu zako!
Mnataka waachie ngazi ili nani adandie?
Wanaudhi kweli! Kazi kupiga mbonji ofisini!
Kifo ndo kitawatenganisha na utumishi wa serikali!
Ni himaya, himaya hulindwa na wenye himaya!
Wametuingilia mbele na nyuma hatuna cha kufanya mpaka wapende wao!
 
Nafasi kama hizi za kuteuliwa zina madhumuni kadhaa:

1.Kulipa fadhila.
2.Kuua kisiasa maadui zako
3.Kutunza siri za serikali kutoka kwa wastaafu walio wahi kushika nafasi nyeti
4.Kusaidiana. Unakuta wengine wana staafu wamechacha kwa hiyo kama ana connection anapewa nafasi ya kuteuliwa.
5.political strategy. Huyo unayemteua sehemu fulani anaweza kwenda kukufanyia kazi fulani.

nimekubali mkuu
 
Ukisoma sheria za kijeshi za nchi za commonwelth mbazo tanzania inafuata, wanasema mwanajeshi atastaafu kwa mujibu wa CHEO chake ni sio umri uliowekwa na Serikali wa Kustaafu.

najua Tanzania wameweka umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria ni miaka 60 na kwa hiari kuanzia miaka 55. sasa wanajeshi watastaafu kwa mujibu wa vyeo vyao.

sasa inawezekana hao makanali haajafika umri wa miaka 60.

lakini lazima tukumbuke kuwa utumishi ndani ya Serikali unakoma pale utakapotimiza miaka 60 tu.
 
Kwa mfano wako wa kijeshi, tangu siasa itenganishwe na jeshi imekuwa hairuhusiwi kwa mwanajeshi kushika wadhifa wa kisiasa.Ndiyo maana ikibidi mtu aliye mwanajeshi aingie kwenye siasa, itatakiwa kwanza astaafu jeshi. Wanajeshi hawa hupenda kujulikana kwa vyeo vyao vya kijeshi kama achievement fulani/ title, ndiyo maana unasikia Kanali mstaafu Jaka Mwambi / Jakaya Kikwete etc.

Pia nje ya jeshi kuna dhana kwamba kuna watu wengi wamejenga uzoefu wa siku nyingi sana na kuachiwa wastaafu tu bila kutumiwa, hususan kama nguvu wanazo bado, itakuwa ni hasara, ndiyo maana wastaafu wsio wajeshi wanatumiwa.Lakini hapo hapo kuna vijana wanasema hii inazuia vijana wachanga kupanda ngazi. Hakuna sababu ya kufanya wastaafu wachache wenye rekodi nzuri sana kutotumiwa pamoja na vijana ili vijana wapate kujifunza kutoka kwa wastaafu walio na uzoefu wa siku nyingi na mara nyingine hata hawa wastaafu kujifunza mambo mapya kutoka kwa vijana, as long as hii haiwi tabia inayosababisha damu mpya kukosa nafasi.

Hata waliowatangulia wasingestaafu basi hao nao wasingepata nafasi hizo. Tukubali muda ukifika wa kustaafu mtu apumzike tu ili atoe nafasi kwa wengine wenye mawazo mapya. Kama kuhitaji msaada wao na wana uzalendo wa kutosha ni bora wajitolee kuwa washauri.
 
Back
Top Bottom