Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Nimefuatilia kwa muda mrefu suala la uteuzi wa viongozi katika Tanzania nikashindwa kuelewa usahihi wa mtu kustaafu, eneo moja (hasa jeshini) na kisha kupewa madaraka mengine eneo jingine.
Kwa mfano unasikia KANALI MSTAAFU ..... ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani au wilayaa fulani.
Kuna siri gani kuhusu jammbo hili wana JF?
Kwa mfano unasikia KANALI MSTAAFU ..... ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani au wilayaa fulani.
Kuna siri gani kuhusu jammbo hili wana JF?