Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
baadhi ya wastaafu wa kada ya ulinzi,polisi na mahakama wameonekana katika ofisi za hazina ndogo kanda ya mashariki wakifuatilia pensheni zao bila mafanikio.wameonekana kuwa na hasira na malalamiko mengi.inasemekana wamekuwa wakifuatilia mafao haya kuanzia mwaka 2004.
source TBC .
source TBC .