Niambieni JF-Expert Member Jul 20, 2011 625 170 Nov 24, 2014 #1 Asema kuwa wapinge yanayopingika na waunge mkono yaliyo mazuri... haiwezekani kuona kwenye katiba yote hayakubaliki, hayafai, tukatae.... Note kuwa: Leo ni Wasira na kesho saa tisa jioni ni kina Warioba.
Asema kuwa wapinge yanayopingika na waunge mkono yaliyo mazuri... haiwezekani kuona kwenye katiba yote hayakubaliki, hayafai, tukatae.... Note kuwa: Leo ni Wasira na kesho saa tisa jioni ni kina Warioba.
Gambamala JF-Expert Member May 13, 2014 1,045 766 Nov 24, 2014 #2 Siwezi kupoteza Muda wangu kusikiliza maoni ya mtu kutoka chama kinachofuga majambazi