TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Kwa kauli hizi nina kuhakikishieni kuwa hii ni hujuma dhidi ya Siyoi na CCM kwa ujumla. Naona kinachofanyika kuhakikisha wana mkomoa yule aliyempa tafu Siyoi mpaka akapitishwa kuwa mgombea ubunge.
Kwa namna yoyote hile Wapiga kura wa Arumeru hawawezi kushawishika kwa kauli hizi zisizo na mashiko kumpa kura zao Siyoi. Wanaarumeru wanazoshida nyingi sana zinazokwamisha maendeleo yao.Hizi polojo wanazozitoa hawa akina 'Mh'. Wassira na wenzake ni dhahiri wanamuhujumu Siyoi na CCM kwa ujumla.
Kwa namna yoyote hile Wapiga kura wa Arumeru hawawezi kushawishika kwa kauli hizi zisizo na mashiko kumpa kura zao Siyoi. Wanaarumeru wanazoshida nyingi sana zinazokwamisha maendeleo yao.Hizi polojo wanazozitoa hawa akina 'Mh'. Wassira na wenzake ni dhahiri wanamuhujumu Siyoi na CCM kwa ujumla.