Nguli wa siasa nchini mhe. Wassira leo katika mahojiano ya kipindi cha jambo leo amemjibu Mbowe kufuatia kauli yake ya serikali kuhusika na mashambulizi ya kutaka kumuua.
Amehoji mzee Wassira kuwa, "Mbowe ana nini kuifanya serikali imtafute?", hapa pia aliongeza yafuatayo, "Mbowe huyu huyu kwenye uchaguzi wa urais 2005 alipata kura 600 nchi nzima, sasa ana nini cha kutafutwa?".
Mzee Wassira pia alisisitiza, "Mbowe huna kitu chochote cha kuifanya serikali ikutafute, hivyo uache kuwahadaa watanzania kwa kauli zako za uchochezi, kwani hazina tija."
My take;
Mbowe umekurupuka kutoa kauli ya kipuuzi kuihusisha serikali na suala la mlipuko Arusha, jifunze kuwa kiongozi mwenye subira na hekima, haya mambo ya porojo waachie BAVICHA ila wewe kwa nyadhifa yako una jidhalilisha.
Amehoji mzee Wassira kuwa, "Mbowe ana nini kuifanya serikali imtafute?", hapa pia aliongeza yafuatayo, "Mbowe huyu huyu kwenye uchaguzi wa urais 2005 alipata kura 600 nchi nzima, sasa ana nini cha kutafutwa?".
Mzee Wassira pia alisisitiza, "Mbowe huna kitu chochote cha kuifanya serikali ikutafute, hivyo uache kuwahadaa watanzania kwa kauli zako za uchochezi, kwani hazina tija."
My take;
Mbowe umekurupuka kutoa kauli ya kipuuzi kuihusisha serikali na suala la mlipuko Arusha, jifunze kuwa kiongozi mwenye subira na hekima, haya mambo ya porojo waachie BAVICHA ila wewe kwa nyadhifa yako una jidhalilisha.