Njaa mbaya sana yote hii kuwakataa watoto wa kaka yake ni sababu ya kuganga njaa!! Mkumbuke huyu waziri alikuwa bench, akiuza samaki pale Namanga na kuwa na madeni lukuki mpaka pale mkweree alipompa ULAJI HIVYO ANALINDA ULAJI HUO KWA GHARAMA YEYOTE ILE ikiwemo hata kuwasaliti nduguze wadamu!! Hao ndio magamba hawaoni zaidi ya urefu wa pua ; leo hii akitoswa ccm kama alivyotioswa kwenye vyama vingine atabakia na nduguze peke yao na hao magamba hata waona kokote awaulize wenzie wakina Kiula!!!