MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
Hili ni tatizo kubwa sana kwa sasa hapa nchini kwetu, wasomi wengi hasa wanafunzi wa vyuo tumekuwa WAONGEJI wakubwa sana wa mambo ya siasa na sio WASHIRIKI.we are good in theory than practical.e.g maandamano ya Ar kwa jinsi nilivyojionea mwenyewe watu tuliokuwa pale asilimia 95 ni watu wa kipato cha chini ambao sio wasomi ndio waliochiriki mpk hatua ya mwisho.Wasomi waliokuwepo ni wachache sana.TUMEPATA NEEMA YA KUSOMA ILI TUKOMBOE WENZETU,SASA SISI TUNATAKA AMBAO HAWAKUPATA BAHATI YA KUSOMA NDIO WAKATUPIGANIE?TUBADILIKE TUACHE POROJO TUFANYE MATENDO