Wasomi wawili mmoja wa Uhasibu na mwingine wa IT walikuwa wanatambiana hivi
Msomi wa Uhasibu akaanza kujidai hivi mimi nimesoma hadi nimepata CPA
Msomi wa IT naye akajidai hivi na mimi nimesoma hadi nimepata CPU na sasa nachukua USB
Msomi wa Uhasibu akamwambia kweli wewe kiboko sikuwezi
Msomi wa Uhasibu akaanza kujidai hivi mimi nimesoma hadi nimepata CPA
Msomi wa IT naye akajidai hivi na mimi nimesoma hadi nimepata CPU na sasa nachukua USB
Msomi wa Uhasibu akamwambia kweli wewe kiboko sikuwezi